waziri mkuu mh. el akibadilishana mawazo na mbunge wa songea mjini na naibu waziri wa kazi, ajira na maendeleo ya vijana dk. emmanuel nchimbi (kati) na mbunge wa mbinga magharibi kpt. john komba nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma leo. kikao cha bunge ambacho ni kirefu kinaendelea kwa wah. kuchangia hotuba ya bajeti

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2007

    Nchimbi kazidi kuvimba.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2007

    LAZIMA AVIMBE KWA KUWA ANAFAIDI SEHEMU KUBWA YA KEKI YA TAIFA.....ILA NDIO TUONE ITAKUWAJE NA HII TAARIFA YA GAVANA WA BENKI KUU.....SIJUI TUTAAMBIWA HAKUNA USHAHIDI???????HAPA NDIO TUONE KAMA KWELI BUNGE NA SERIKALI VINATUJALI WALIPA KODI WA NCHI HII!!!!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 20, 2007

    hivi komba ana shule kiasi gani??

    mana hilo tumbo ni kubwa mno,,

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 20, 2007

    Inaelekea wanazungumza maneno haya:

    "Mheshimiwa EL mimi kama mshenga wa Mpakanjia najitahidi sana hapa kumsihi Mhe. Naibu Waziri amalize tofauti na yule Mhe.wa viti maalum vijana"

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 20, 2007

    Mmmeona saa aliyo ivaa komba? Huu ndio wizi wa macho macho na kushindwa kuwatumikia wananchi na kula mali ya umma na kupokea rushwa. Ni tofauti kabisa na viongozi wa nje wapo simple na wanatumikia wananchi na mataifa yao kwa nguvu zote.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 20, 2007

    Kapten Komba ana Digrii ya Sanaa.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 20, 2007

    Capt. John Komba amevimbewa anaweza pasuka wakati wowote...I a pouring my tax shilling down the drain.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 20, 2007

    Mbunge kabeba gazeti la udaku in public. Kweli tutafika?

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 21, 2007

    Kweli kila jambo linalipa,Komba kuimbaimba tu leo mbunge,watu wengine wamekula kitabu ndo kikawafikisha hapo.Hapan shaka na yeye akishaongoza kwa muda mrefu atarudi shule just like Sumaye Fredric sio ndiyo zetu Africa ongoza kwanza shule later

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 21, 2007

    WAJAMENI LOWASA KANANA NA MWALIMU JULIUS NYERERE.....MNO YAANI. MUNGU AKUBARIKI BABA NA UWE MWAMINIFU KATIKA UONGOZI WAKO KATIKA TAIFA LETU.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 22, 2007

    guys tukae mkao wa kula. siku moja hata Joti atakuwa mbuge tena wakuchaguliwa hivihivi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...