kijiji cha makumbusho jana palikuwa hapatoshi baada ya bwana harusi kuvamia steji na kufanya vitu vyake baada ya kutoka kwenye sherehe za harusi yake. kuna wadau walikuwa hawajui kwamba jose mara ni myuzisheni wa fm academia

jide na bendi yake ya machozi walikuwepo kutumbuiza. hapa akimsaidia jose mara kuimba wimbo maalum aliomtungia mai waifu wake monica


wazee wa bling bling walikuwepo kumpa tafu mwana-ngwasuma mwenzao jose mara kwenye harusi yake na monica jana ukumbi wa malaika

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2007

    namuona papaa nyoshi,pablo masai patchou mwamba, roger muzungu,King blaise na huyo nyuma ya jose sijui ndio felician chaula(mmiliki wa ngwasuma)!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2007

    Jamaa wamenyuka kishenzi...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2007

    Jamani hawa wazee wa ngwasuma wameulamba hasa! Acha masihara!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 19, 2007

    aah ameliwa babake welcome to the players club mama. Uanamuziki utakuwa bongo???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...