
mdau wa global publishers kaleta ujumbe huu sasa hivi
Ladies n Gentlemen,
Now you can have latest stories from Magazeti Pendwa ya Global Publishers every morning. Pata habari za chini ya kapeti, mwambie na rafiki yako popote alipo duniani anayetaka kujua what is happening on the streets and behind every news in Bongo na unaweza kusema chochote unavyojisikia!! Bofya hapa: http/:abdallahmrisho.blogspot.com
thats creative mr abdallah safi sana,maana magazeti ya udawi huwa hatupati habari zake espeially picha ambazo ni kivutio
ReplyDeleteYaani, we acha tu! Tulikuwa tunamiss magazeti ya udaku. Umefanya la maana saaaaana. Keep it up!
ReplyDeleteKaka Michuzi hawa Jamaa wanajitahidi sana kukosoa Jamii. Mi at least mpaka sasa so far nawafagilia sana.
ReplyDeleteKama kwenye show ya wiki iliyopita ile Stori ya WANAOJIDAI MASTAR kwenda kwenye misiba ya watu maarufu kwa lengo la KUJIBIISHOLISHA na "kusafisha nyota" ile ni kweli kabisa.
Kuna WASHAMBA fulani ambao huwa kweli wanapendaga kufanya hivyo kwenye misiba. Sijui upungufu wa elimu! Mheeh!
Eee bwana naomba unifikishie ombi langu kwao kwamba wiki hii WARUDIE TENA ile stori ya WANAOJIBIISHOLOLOLISHA kwenye misiba ili TUKOMESHE kabisa tabia hiyo mbovu!
Big up!
Big
Michuzi habari za udaku kumbe uwezo wa kutu-tundikia globuni unao,tumeomba za Hayati Amina alivyokuwa akiwindwa na shigongo umeuchuna kwanini lkn, cc wa ukerewe hatuyapati.
ReplyDeletenyie ma anon wa hapo juu mnaoshabikia magazeti ya udaku subirini siku mkitundikwa nyinyi ndo mtajua machungu yake.mi nshaandikwa ,i know its pain na waliandika uongo.
ReplyDeleteWasanii bwana, HUYO WA KULIA NI JOTI, NA WA KUSHOTO MASANJA, acheni "ZE COMEDY YENU HAPA". Hata wakivaa mavazi ya kike na ma wigi tunawajua!!!
ReplyDelete