mdau tx akishereheka na mai watotoz wake kwenye bethdei. huyu ni mmoja wa maboni hia hia wa dar ambao ni chachandu ya kwenye vijiwe vyote. lakini kwenye kutunza familia hataki mchezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2007

    AAAH HUYU JAMAA NAMKUMBUKA KTK KIJIWE CHA EMPRESS, DUH NAONA AMEZEEKA SANA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2007

    WHOOU HAPPY BIRTHDAY TO YOU, HUYU BABA KAMA NIMESHAWAHI KUMUONA MAENEO YA MILLS, PAMBA STREET NYUMA YA AFRICAN HOTEL KUNA KIPINDI NILIWAHI SIKIA KUWA ALIFIWA NA MKEWE (SINA UHAKIKA KAMA SI KWELI NAOMBA ANISAMEHE). BEANA MICHUZI KAMA NIMEKOSEA LABDA MKEWE BADO YUKO HAI MNISAMEHE, HONGERA KWA KUJALI WATOTO MUNGU AKUZIDISHIE KILA LA KHERI WEWE NA WATOTO WAKO.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 11, 2007

    Khaa!
    Kaka Michuzi hao ni mai watoto wake au wajukuu? Kama huyo aliyem-beba!
    Yaani mpaka umri huo bado ana watoto wadogo hivyo! Si kuwatafutia shida tu ya maisha yao ya baadae jamani!
    Laif ekspektans yenyewe ya wabongo ni miaka 55. Mweeh!
    Wabongo bwana!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 11, 2007

    Huyu bwana namkumbuka sana alikuwa ni mmoja wa shabiki mkubwa wa black wizard maeneo ya morocco

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 11, 2007

    Mshikaji kachelewa domo lilikuwa zege. Sasa kambabatiza mtu ndio hadi kutotoa. Ila ndio hivyo inaonekan chumvi umeshalamba sana, lakini swala la watoto naona halina kama umelamba chumvi sana au la kama unaweza kuwatunza poa.

    ReplyDelete
  6. Duuh huyu baba mtu mimi kama namjua kama ni yeye basi alikuwa ktk kundi la muchacho wapiga kidedea wa simba sports club.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 11, 2007

    we ano hapo juu 4:19 acha kashfa za uzee umeambia tx mzee nikijana tu may be in his late forties we baba yako alikuzaa ukiwa na umri gani? acha hizo keep up tx mzee wa kinondoni

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 12, 2007

    Weee perez jinga kabisa,pumba tupu zimejaa kichwani eti wajukuu???tuulize sisi tulioko huku ughaibuni watu wanapata watoto wakiwa na umri gani.PM Gordon brown ana watoto hata hao hapo ni wakubwa ajabu,halafu unamkatisha tamaa mshikaji wa watu bado yuko pima kabisa.kuna mama huku wanazaa wana 50's hadi juzi alivunja recodi na 60's.Kama huna cha kuongea funga hilo domo huwezi jua hata mswaki hujapiga.period.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 12, 2007

    Anony wa hapo juu. Soma vizuri. Nimetoa angalizo la "life expectance" lakini.
    We unatupa mifano ya wazungu, lakini unasahau kabisa kwamba "life expectance" ya wenzetu wazungu iko juu kuliko ya sisi wabongo. Anaweza "kuwaacha" hao watoto bado wakiwa wadogo sana. Allah Akbar, Inshallah!
    Baba yangu mimi alizaa mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 23 na alimalizia mtoto wake wa mwisho akiwa na mika 31 kwa kipimo cha kupishana miaka miwili miwili kila mtoto.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 13, 2007

    HAWA WATOTO NI WANGU NAOGOPA CHILD SUPPORT JAMAA AKIPIMA DNA ATAGUNDUA NI WANGU. ACHA AWE MUME BWEGE CHEKI TULIVYO FANANA.. NA HAO WATOTO NASUBIRI WAKUE NIRUDI MAREKANI KUWADAI/KUNYANG`ANYA HUYU BABU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...