Home
Unlabelled
suleiman
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi wewe mtu mbaya kweli, yaani nilikuwa nakunywa chai na baada ya kusoma hiyo caption ya picha nikagundua umeandika LANCHI YA USIKU babake mpaka nikaungua kwa chai jinsi mzee mzima nilivyoangua kicheko ! keep it up Michu !
ReplyDeletekaka michu unatufanya tunacheka mbavu eti lanchi ya usiku, bi harusi si mchezo amependeza sana anang'aa huyo ali oki ameshinda bingo
ReplyDeletedu! mshkaji ali oki amenenepa hivo na amekuwa mrefu namkumbuka upanga primary, alikuwa kishotii na mwembamba lakini kwa totoz huyo, mh! sasa tulia basi.
ReplyDeleteTuulize sie tuliosomanye ALHARAMAIN ya MSABILA na MZEZELE
ReplyDeletealikuwa shoti na swahib yake mkubwa alikuwa KOROSHENI
zAIDI YA HAYO SISEMI KITU
Aisee Michuzi hapo ndipo unapotukosha washikaji wako tuliopo ughaibuni... Maalim Suleiman watu wengi ambao wamekuja mjini juzi hawamjui... Huyo ni maalim Sulaiman A.K.A Bob Spear kijana wa zamani... Kwa wale tuliocheza disco SANSUI, YMCA na MBOWE tunamkumbuka Bob Spear... Keep going Michuzi kutukumbusha enzi za msolopagazi... Poleni wakuja mliouvamia mji wa watu.
ReplyDeleteDar ni mji wa watu wa kuja. hata huyo Bob Spear ni mtu wa kuja. Huo "umaalimu" kaupata Dar. Nini cha ajabu?
ReplyDeleteKila aliyefika Dar, basi wapo waliomtangulia. Mara nyingine ni suala la umri tu.
Dar-Es-Salaam si jina la asili la mji huo. Jina hilo lilitokana na waarabu, watu wa kuja, waliovamia mji wa watu.
ReplyDeleteKama ulicheza disko MBOWE[mtu wa kuja], halafu unajiona mtoto wa mjini, tayari umekuwa mtu wa Dar, basi wewe ni kichekesho kikubwa.
.....kuna watu wanaijua Dar tangu enzi za sarafu ya Afrika Mashariki. At least hao wana bragging right za kuwa watu wa Dar.
duh siamni kama ali oki ameoa naona kama ndoto maanake mshkaji hana subira na totos hongera aloki hope mshkaji atatulia
ReplyDeleteHongera Ali Yoki kwa kujipatia mwana dada murua hayawi yamekuwa
ReplyDeletehongera sana
dana trading
hongera sana ali oki mimi mshkaji wako sana siku moja ntakuambia nani lakini nakuomba usiende na shemeji zile sehemu za kujirusha maanake umewadanganya wengi kuwaoa lakini una bahati ya kuopoa wewe hebu nipe urithi wa hirizi ya kuwapata wa watoto hongera mzee
ReplyDeleteunasema Spear ni mtu wa kuja.sawa lakini alikuwa mtoto wa mjini miaka 30 iliopita.Ni miaka mingi kwa maisha ya sasa hivi.Huyu tulikuwa naye Holiday Hotel Mta wa Jamhuri mwishoni wa 1970s.sasa basi
ReplyDeletenawonea huruma huyo mwanamke
ReplyDelete