mashabiki wakishuhudia yanga wakila tizi leo uwanja wa chuo cha ustawi wa jamii bila kocha wao micho ambaye aliondoka kwenda mapumzikoni mara baada ya wana jangwani kuvuliwa ubingwa kwa njia ya matuta na simba kule mji kasoro bahari. kurejea kwa kocha huyo mserbia bado ni kitendawili ambacho kinahitraji kuteguliwa haraka kwani michuano ya kombe la tsuker ndo hiyo inasogea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 20, 2007

    Hawa WAMASAI wakisimama ni hizo fimbo zao kwanini huwa wanapenda kuweka kwenye mstari wa suez canal?

    Hata safari iliyopita tuliona MMASAI ameweka fimbo KWENYE SUEZ CANAL hivi anajisikiaje?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 20, 2007

    Tuletee pia na mazoezi ya Simba ili tujue kwamba hii blogg sio ya mdebwedo tu bali ya wadau wote wa michezo.Kwani wote wanajua kabla ya mtu kuwa Pan Africa lazima timu iliyokuwa inakugongesha moyo ni Yanga au?????

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2007

    NAROBUMENYE...WEWE NGAIYONI WEE
    Anonymous said...
    Hawa WAMASAI wakisimama ni hizo fimbo zao kwanini huwa wanapenda kuweka kwenye mstari wa suez canal?

    Hata safari iliyopita tuliona MMASAI ameweka fimbo KWENYE SUEZ CANAL hivi anajisikiaje?

    July 20, 2007 1:40:00 AM EAT

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...