idd mubarak ndiyo hiyo inakonyeza na da'ashura anakwambia kajaza stoki kibao ya vimbwanga namna hiyo dukani pake karibu na bilikanaz. ama mtembelee www.belle-dame.co.tz utapata maelezo zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hizi nguo kwani ni lazima ziwe oversize?Au ndo mambo ya kuendekeza unono?Da Ashu nijibu maana mi mwembamba na nataka nguo zinazo nifiti je nitapata?Tuko pamoja dada yangu.

    ReplyDelete
  2. Nguo za wanume zenye mikunjo kunjo zingepigwa pasi kwanza!

    Otherwise, fantastic!

    ReplyDelete
  3. Huyu da Ashura ni mtoto wa mzee Kawawa au nimemfananisha?

    ReplyDelete
  4. oya siyo mikunjo ni linen ya nguvu. ila sijapenda stail utaonekana ka mnigeria ukivaa hivyo nataka ubunifu wa kibongo like that africa sana staff on that wedding.uza lakini usiseme ni mavazi ya asili yetu. DOS

    ReplyDelete
  5. I like to see a woman akijiendelesha herself...you people talk too much!!Mngeinia kwenye website mngeona kaandika kwamba hizi nguo ni za ki west africa the same way mnaleta nguo za ulaya etcetera..mkauza!!na ukiangalia yeye mwenyewe ni mkubwa kwahiyo inabidi ziwe pana!!Anony, hapo juu nenda kwenye duka lake utapewa size yako na ukitaka fittings unaweza ukafanyiwa inawezekana!!P.S. kwa da ashura picha nyingine hazijakuwa uploaded properly kwenye site yako!!Keep moving

    ReplyDelete
  6. Wabongo kwa kudesa bwana ni kiboko yao. Haya ni mavazi ya watu wa Afica Magharibi na kati. Sisi Tanzania always ni kichwa ya mwendawazimu tu- tukiona hiki au kile,tunanyakua!! Sasa lini jamani tutajaona Swala lililoanzishwa bongo linaigwa nchi zingine. UMASKINI WA MAWAZO MTUPU KAMA ALIVYOWAHI KUONA NYERERE "Hakuna ugonjwa mbaya kama umaskini wa mawazo"

    ReplyDelete
  7. Haya mavazi ni ya waafrika wote na west africa ni waanzilishi wa mavazi hayo.Mwafrika yoyote akivaa mavazi haya anapendeza.

    ReplyDelete
  8. Kuna ubaya gani huyu mjasiamali akiuza nguo za west Africa? Mbona hampigi kelele maduka yanayouza european suits?
    Ama kweli wambili havai tatu.

    ReplyDelete
  9. Nakuona pioka, si mchezo, huonekaniki kumbukumbu siku hizi, kumbe umemicha humo?
    mdau - kinondoni shamba

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...