Home
Unlabelled
dafuzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbona ndio inaporomoka kama maporomoko ya victoria fall
ReplyDeleteMichuzi hebu tupatie taarifa ni kwa nini shilingi imeimarika ghafla. Unajua kuna wadau wameshaanza kuchonga eti oooh kwa sababu ya Dr. Slaa kutoa list ya wafisadi benki kuu.
ReplyDeleteNaomba utimize wajibu wako kama mwanahabari utupashe wadau taarifa rasmi kuwa ni nini kinaendelea.
hili la mporomoko wa shilingi kupungua liko wazi,ukweli ndo huo kwamba baada ya bomba la benki kuu kufungwa na kina Slaa demand ya dola imekuwa ndogo,maana kwenye peak ya wizi BOT jamaa walikuwa wanazoa midola tu na kupeleka dubai,kuna anayebisha kwa hilo?
ReplyDelete