Home
Unlabelled
harusi ya mariamu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Du! Mzee Kaduma alikuwa principal wetu pale chuo cha sanaa bagamoyo, Michuzi, nini kimetokea tena..huyu mzee ni miongoni mwa vichwa vya sanaa hapa tz,,,faculty of arts pale udsm wenyewe wanamtambua...rip zg kaduma
ReplyDeleteHizi ni habari za kusikitisha sana! Pole sana kwa Familiya ya Marehemu pamoja na kwa wale wote tunaomjua. Mzee Kaduma alikuwa mwenye upeo mkubwa katika nyanja za za utamaduni - sanaa. Mbali ya kuwa kiongozi mwenye upeo pia alikuwa msanii na mbunifu mahili. Mimi binafsi kama wengine wengi nilikuwa na mahusiano naye ya moja kwa moja katika harakati. Poleni Sana! -Arnold Chiwalala, Finland
ReplyDeletePole sana Zilla KADUMA, Anna KADUMA, Geophry KADUMA na Prof J. Msangi MUNGU awape faraja yake
ReplyDeleteKwa kweli Tanzania tumepata hasara kumpoteza Mzee Kaduma. Alikuwa anajua sana mambo ya usanii. Namshukuru Mungu kuwa nilivyokuwa Tanzania mwezi wa saba niliweza kushinda naye siku nzima huko kwake Bagamoyo na alinielezea mambo mengi na kunipa ushauri mzuri kuhusu mwelekeo wangu katika usanii.
ReplyDeleteMungu amlaze mahali pema mbinguni. AMEN.
Nimepokea kwa masikitiko msiba wa mzee wetu mzee GodwinKaduma.
ReplyDeleteTunawaombea wanafamilia,jamaa na marafiki Mungu watie nguvu katika kipindi hiki kigumu walicho nacho.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Mzee kaduma mahali pema peponi.amina