Kaka Michuzi hata ukibana sana. Chama ndio linakuja wataadharishe wachovu wengine. Hii ndio NBC United,tunajifua ile mbaya hata kikosi cha Maximo hakitaona ndani. Tuko chini ya mtaalamu James Kisaka (trauza nyekundu) kambini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. mmmhhhh na maximo haponi kweli maana jamaa wanaonekana ndo kwanza wametua toka mlingotini,maximo atapona vipi!

    ReplyDelete
  2. Ehe chego umepona goti??? basi afadhali tufufue posta na simu ya zamani kuliko NBC ya baba Chabala na Magomba?

    ReplyDelete
  3. Vitambi tuu hakuna kitu hapo!!

    ReplyDelete
  4. Hawa Jamaa nimewaona pale uwanja wa bandari,sio siri wamedhamiria bwana. Sijui wana mpango gani lakini speed walionaza nayo kama itakuwa hivyo hivyo watatisha

    ReplyDelete
  5. Hao hamna lolote, wanatafuta APPETITE tu!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  6. Jamani eheee! Tuweke utani pembeni na Vitambi Pembeni, Kuna haja ya kuwa na wachezaji wenye nguvu na kisha Vipaji na Mbinu, (kwa maana ya Lishe ni muhimu sana) ndani ya soka la Tz Kwa ujumla. Mimi nilipata Fursa ya kushuhudia Jamaa walio watoa kamasi Dar Young Africa walivyokuwa wana pata Lishe yao pale Hotel moja Dsm (Giraffe Ocean View) Jamani si Mchezo. Unakuta kila mchezaji ana kandamiza plate si chini ya Tano. Waandishi wentu na wataalam wetu wa soka mpo hapo? Mpaka hotel ikawa ina lalamika hawakujua kama jamaa wanafuta tena chini ya msimamizi kuwa kila mtu kala kiasi na quality fulani fulani.

    ReplyDelete
  7. naona vitambi tu hapo,labda hawatatumia sheria za fifa katika michezo yao.mfano mpira dakika 90 wao watacheza 30.15 mapumziko harafu wanamalizia 15

    ReplyDelete
  8. PUNGUZENI BIA

    ReplyDelete
  9. Inaleta matumaini kwani nyinyi mnaosema vitambi je nyie mnafanya mazoezi? au mna point fingers tu kwa wengine ambao wanajaribu. Inapendeza kuona kuwa ari ya michezo inarudi TZ. kama miaka ya 80's wakati mashindano ya shimuta, shimiwi, na mengineyo. I was myself playing for NBC.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...