baba wa taifa atakumbukwa daima. na je unakumbuka kwamba tarehe 14 mwezi huu tunaadhimisha siku yake na kwamba siku hiyo pia huhitimisha mbio za mwenge na kuwa mojawapo ya sikukuu kubwa za taifa kunenzi mwalimu julius kambarage nyerere. kujua ama kujikumbusha sikuu za taifa bongo bofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. ISSA UMEPENDEZA

    ReplyDelete
  2. MWALIM ATAKUMBUKWA KWA MENGI SANA.
    ILA SIO WOTE WANAJIFANYA KUMKUMBUKA
    NI WATU WAZURI.LA HASHA.WAPI..
    WENGINE HUJIDAI KUMUENZI HUKU WAKIKWEPA KODI,WEZI WA FEDHA ZA WANYONGE,MATAPELI WAKUBWA.ANGEKUWAPO MWALIM MWENYEWE ASINGEKUBALI.ILA NDIO BASI TENA HAKUNA KAMA YEYE.WALIOBAKI WENGI SASA NI MAFISI YA KUTUPA BWANA.
    HALAFU WE MNDENGEREKO KAKA MISUPU
    UKIBANIA MAONI HAYA.NTAKASIRIKA
    MALIK-KAMPALA

    ReplyDelete
  3. Cool Michu... Baba wa Taifa Hayati Mwl JK Nyerere tutamkumbuka kwa hekima zake ambazo kama ni kuishi bado zinaishi na kuyazungumza maisha ya leo...TZ
    Ninaomba kuwasilisha hoja kwamba kwa mwendo wa Sirikali yetu ya awamu ya nne....mwendo wa kushindwa kuitimiza ahadi kuu ya ''maisha bora kwa kila mtanzania'' Tuwaombe watanzania wenye uwezo na wenye nia njema na nchi yetu hii... wadhamini vipindi vingi maalum katika tv zetu hapa bongo...kurusha hotuba za Mwl Nyerere hususan zenye kuonyesha njia, kukemea maovu na kukumbusha maadili ya viongozi na hata sisi wanachi tuna wajibu gani kwa nchi yetu... wajitokeze ili elimu hii ifikishwe kwa wananchi wengi iwezekanavyo... hiii itatusaidia kuwa na uelewa wa mambo hususan kufanya uamuzi bora wakati wa kuchagua viongozi wtu... asante. Naomba kuwasilisha...

    ReplyDelete
  4. WE ANON WA KWANZA HUYO SIO MISUPU WEWE.MISUPU ANA MUSCULAR BODY HUJUI ANAPIGA CHUMA SIKU HIZI? ATAENDELEA BAADA YA MWEZI WA RAMADHAN.YUPO FIT KINYAMA.HANA NYAMA NYAMA KAMA KATIKA HII PICHA
    SAMIR

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...