mshambuliaji mwiba wa simba ulimboka mwakingwe akikata mbuga kwenda kuwaumiza yanga baada ya kumtoka mlinzi wa jangwani leo uwanja wa jamhuri morogoro ambako msimbazi wameibuka kidedea kwa mara ingine kwa ushindi wa goli 1-0.
beki wa simba nurdin bakari ambaye ndiye aliyetoa pasi hii iliyozaa goli alizimia baada ya mechi. mchezaji huyo ana historia ya kuwa na matatizo ya moyo
Yanga kwa Simba ni kama mbwa kwa chatu au katika simi za siku hizi ni kama kumsukuma mlevi. kwa heri.
ReplyDeleteThat's what I'm talking about. Siiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaaaaaaaaa! Yap, acha bakora zitembeee Jangz!!!
ReplyDeleteKweli mshambuliaji anachanja mbuga..Uwanja huo no mbuga kweli kweli vumbu tu kama vile umeona kundi la nyumbu mbugani..
ReplyDeleteNa huyo beki wa simba anayezimikazimika inabidi awaone wataalamu, yasije yakatokea kama ya marehemu Marc Vivian Foe!
Waswahili husema "kuku ni kuku tu jogoo no jina" ndivyo ilivyokuwa kwa Yanga hata baada ya kupewa shs 50M kuimaliza Simba bado wamepigwa. Fedha haziwezi kuwa kila kitu!!!! Lakini Michu, mbona ya bwawa la maini huyasemi?
ReplyDeleteYANGA MDEBWEDO, BONYEEEEE!!!
ReplyDeleteBro Michu, Bwawa la maini aibuuuuu tu! Pointi mmoja kati ya mechi tatu championi ligi?? Pole sana!
ReplyDeleteNaomba chama cha mpira kiingilie kati kuhusu huyo mchezaji wa simba anayeumwa ugonjwa wa moyo kwasababu hawezi kuendelea kucheza mpira huku anaumwa matokeo yake ipo siku atapoteza maisha kama wachezaji wengine waliokuwa na ugonjwa kama huo.
ReplyDelete