Home
Unlabelled
yanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mishahara mnalipwa, posho mnalipwa, vifaa vya michezo mnapewa, sehemu ya kambi ipo bomba lakini mkiingia uwanjani mnatuabisha. Namna hii tutaacha kuwacharaza bakora?
ReplyDeleteKwa faida ya wasiofahamu wachezaji, Kutoka kushoto ni Tom Maurice, Laurent Kabanda, Lulanga Mapunda, Waziri Mahadhi, AMri Kiemba, Hamisi Yusuf, Ivo Mapunda, Wisdom Ndhlovu, Amiri Maftah, Credo Mwaipopo na Shadrack Nsajigwa.
Mtachapana bakora sana.Kazi kupiga domo tu.Ohh mwaka huu tumesajili wachezaji wa kimataifa.Timu mbovu lakini wapenzi waosha vinywa wa kutupwa.Simba amecheza na wachezaji 10 kwa dakika 75 mmeshindwa hata kutoa droo.Muombeni Manji aongeze pesa za shughuli kwani milioni 50 hazitoshi afanye milioni 300 labda mtapata sare.
ReplyDelete