Home
Unlabelled
alamsiki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
why dramatize it?!
ReplyDeletewhy dramatize it?!
ReplyDeleteMichuzi najua huyu ABUU ni mshikaji wako,ukiamua kubana hii comment bana.
ReplyDeletewe abuu we ndio wa kwanza nini kuchomoka kwenye familia yenu?
hao masela wanaoneka kama ni watu wa mision town!
ReplyDeleteDah!! Namuona Kaka Paul James (PJ) ambaye walikuwa "wakikamua vibaya mbaya" ndani ya Radio Uhuru. Nimem-miss sana mtaalamu wangu huyo. Kila la kheri Liongo.
ReplyDeleteTunashukuru tumekulea vizuri na unaondika na afya nzuri.....haya kwaheri na ukaendeleze libeneke la kula burgers..(nasikia kama kutapika vile)
ReplyDeleteHuyu Benie Sigel katokea wapi tena? Na huyo mshikaji mwenye mfuko wa kaki naona yuko mbio kutafuta visa.
ReplyDeleteDallasFinesty
Kwani mkiondoka kwenda Ulaya hamuwezi kuondoka kimya kimya ndo mpaka mtukoge humu kwenye bulogi?
ReplyDeleteWashamba nyinyi nini?
Mmeanza UBISHOO kama ule wa LINDA sio?
Kudadadek!
huyo mshikaji mwenye tai yuko kama mhasibu vile halafu anakula sana sigara na pombe
ReplyDeleteHivi huyo si ni Kim Matinyi au nimekosea? Yuko bongo? Maana namtafuta sana. Naomba mnijulishe tafadhali. Asanteni
ReplyDeleteKumbe watu kila siku sababu ni sizitaki mbichi hizi...hivi watu wakienda A-town, zanzinar, dododma wanawekwa kwenye blog??? Mbona huyu aagwe hivyo na picha kwenye blog? kumbe majuu kutamu teh teh teh
ReplyDeleteoyaa Dallasfinesty umeniacha hoi kaka/dada.Jamaa karibia afanane kama bennie sigel.
ReplyDelete