Home
Unlabelled
lango la jiji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Yaani nimecheka sana! Tanzania nchi yetu bwana, hata ungekaa uropa mpaka lini, home ni home tuu! Labda niulize nani mmilikiwa huo ukumbi?
ReplyDeleteMichuzi hapa ulitoka kwa Bitebo tuu kuliwa kichwa!!! Lol
ReplyDeleteambao hajui lango la jiji walidhania ni bonge la ukumbi, kiujumla ni pabaya sana tena sana ila hiyo taarab ya east african melody ndio balaa lazima utaenda tuuu pale kama unapenda taarab
ReplyDeletehuo ukumbi una mandhari mbovu kishenzi yaani umechoka sana kweli ughaibuni kumetuharibu,yaani kuona picha nikasikia kichefuchefu.
ReplyDeletemimi humu siingii hata kwa risasi maana nikiumia insurance yangu wata-classify hiyo ajali kama ATTEMPTED SUICIDE
ReplyDeletekuchafu ile mbaya,hivi hiyo hewa ya ndani ukiingia humo ukavuta si unaweza kupata magonjwa ambayo ni ya hatari sana,humo hata kwa dawa siingii unaweza kufa tuu kwa hewa ya humo ndani
ReplyDeleteAma kweli Bongo New York!!!!!!!
ReplyDelete