Michuzi,
Majuzi nilibahatika mimi na wenzangu kwenda kwenye show live ya huyo mwana mama Mbilia Bel. Umri umeenda ila kiuno chake kama cha kijana wa miaka 20, kinazunguka balaa.Kichekesho ni kwamba all of us that day tulipewa task tofauti tafauti siku ya onyesho mfano audience survey kama wanafurahia show, exhibition etc.. ila tuli-enjoy sana.
John Mnamba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mmmh!!mwanamama mziki umeshakutoka umebaki kukaa uchi tuu!! duuh " kipapa" hicho..

    ReplyDelete
  2. Kweli maini hayazeeki Michuzi...huyu mama bado yuko "hot" ni hakuna mfano...kwani ana miaka mingapi saiz? mwenye data tafadhali weka uchi!!!

    ReplyDelete
  3. waosha vinywa vipi mbona kimyaa!!!!lakini mara ohh ohhh richard hivi mara vile,huyo mama sasa yuko uchi na watu hamtii neno.
    wabongo nomaaa!!!
    CHA CHANDU- UK
    msimsimange mtoto wa mwenzenu wakati ya kwenu yanawashinda.i learn this from my late daddy.He was the best daddy i ever seen in my life.AND LINDA GO, GO LINDA MANENO YA WAPANGAJI HAYAMZUII MWENYE NYUMBA KULALA COS MWENYE NYUMBA NDO MMILIKI, HAO WENGINE NI WAPANGAJI TUUU!!!!

    ReplyDelete
  4. Michuzi, nimekutumia posting ya Mbilia...nashangaa hujaipost mpka sasa. Please naomba ufanye hivyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...