Dear Prospective Student,

Planning to go for further studies in South Africa?

Kindly be informed that one of the Students Visa requirements is for you to have a medical certificate and proof medical insurance cover usable in South Africa.
We have a scheme offered by our sister company in South Africa popularly known as the Ingwe Health Plan, the scheme has a dedicated option for international students studying in the country.
This Student Health care solution is now brought to your doorstep in order for you to complete this crucial process and obtain the insurance cover prior to you leaving the country.

Contact us for further information

We wish you a progressive stay and the best of luck as you pursue you studies in South Africa

Momentum Tanzania
11th Floor PPF Towers
P.O.Box 77016
Dar es salaam
Tanzania
Tel +255 22 2197600
Fax +255 22 2197601
Cell +255 78 6123304

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michuzi sema ukweli, hizi post ambazo zimekaa kimatangazo matangazo ya biashara huwa unavuta pesa kwanza ndio unazirusha hewani, au unazirusha bure kwa sababu hii ni "blogu ya jamii?"

    ReplyDelete
  2. haya pande jingine hilo...eti visa zinahitaji med aid blah blah blah....mbona kwa wale tuliosoma sauzi ingwe ipo palepale unakatia kabla ya kuwa registered chuoni?? na kama ubalozini ndio kuna mikoromo kwa nini wakubwa wa mambo ya nje wasiliangalie hili kuliko inavyoelekea manake wameanza sista kampuni ya ingwe, kisha watakuja wa discovery na wengine weengi tu ambao watakuwa na ari na nguvu ya kuwanyonyo waTz maskini wanaotaka kufuata elimu kule? inaeleweka kuwa mfumo wa afya ya jamii kusini si sawa na wa hapa nyumbani. serikali ikifuatilia hili kuna uwezekano mkubwa kuwa ubalozi utaweza weka ahueni kwenye hili kuliko kuwa na kampuni dada za kukupa link ya ingwe kisha uwalipe massivelly for what? waTz wenzangu tufungue macho hata kama ni kuwasiliana na hao kina ingwe, discovery na wengineo moja kwa moja kupitia mtandaoni na malipo ni rahisi pia kuliko kuishia kuwalipa ma "commision agents bubu" wa nchi hii...... walianza wale wa magari tukawaponda, na hawa jee?? Mungu Ibariki Tanzania na watu wake!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...