mwenye gari inaonesha ana shabaha kweli....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Mwenye pikipiki ndiye anayejua kulenga.

    Yaani nimemwaminia mwendesha pikipiki huyo yaani anaendesha kiuhodari hasa.m

    Mimi naendesha pikipiki lakini huyo mwenzangu namvulia kofia ana uwezo wa kuendesha pikipiki hadi kulenga kuiingiza kwenye mivungu ya magari kweli huyo kiboko!!!

    ReplyDelete
  2. Hahahahaha!!! Michuzi usinichekeshe, unanikumbushia Mpoki, Shabaha!!!!!

    ReplyDelete
  3. duuh! namwonea huruma mwenye pikipiki, kwa experience yangu najua miguu yake itakuwa katika hali mbaya, mungu amponye kama ameumia sana

    ReplyDelete
  4. It is not funny.Mwenzeno yuko Muhimbili operation kibao. Bichwa,miguu,tumbo

    ReplyDelete
  5. how dare you guys. Msiweke utani kwenye mambo ya hatari, what if it was one of you, or your realatives involved in that accidents. muogope Mungu.

    ReplyDelete
  6. Inna lilah Wa inna illayhi rajiwn... Hivi hili nalo lahitaji mzaha?
    Nadhani tumuombee Mungu amuafu huyo aliyepata ajali.. Si sahihi kukejeli.. Jiweke ktka nafasi ya muendesha pikipiki huyo au hata driver wa gari hilo, kisha toa maoni kwani naamini hii ni kweli na si sinema..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...