una habari kwamba a-taun ndiyo geneva ya afrika?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Michuzi acha uzushi,Geneva ya Africa ni Addis Ababa,labda ungesema hiyo ni Geneva ya East Africa tungekuelewa au vipi.

    ReplyDelete
  2. we anon hapo juu unabishana nini wakati hata Clinton alihakikisha mwenyewe kua A-Taun ndio Geneva ya Africa.

    ReplyDelete
  3. Acheni utumwa wa kufikiri. Mwishowe Dar itaitwa Washington ya Afrika tehetehe. Huo ni upuuzi tu wa kuiita Arusha kuwa Geneva. Arusha ni Arusha tu. Mbona Geneva haijaitwa Arusha of Europe? Lini ukoloni wa mawazo na fikira utakoma?

    ReplyDelete
  4. Whos Clinton? si mtu tu kama wewe Sh$$%%****.Tatizo wala vumbi mnaabudu sana watu especially wadhungu,Sie huku, we dont mind a s**&&^^%%***.Endeleeni kuwaabudu ili waimalize kabisa nchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...