mdau dokta yahaya pori wa dar na familia yake wanatoa salamu za heri za kimasimasi na hepi nyua kwa wadau wote wa globu hii ya jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Yaani huyo ndo mdau? mhhh!

    ReplyDelete
  2. Ah...kweli sisi wabongo pia tuna ubongo!!!well done artiste!!!

    ReplyDelete
  3. HIYO UBWETE. TUWEKEE PICHA YA SOKWE KWA KIGANJA TTAKUJUA WEWE NI NANIHIIIII

    ReplyDelete
  4. Nimeikubali hii Tatoo kwenye mkono.
    Kazi maridadi ya mochoraji.

    Nyakatakule Unyilisya Echalo

    ReplyDelete
  5. Kuna watu ni ma artist yaani huo ni mkono na vidole vya watu ndo umechorwa hivyo, nimekubali

    ReplyDelete
  6. Hii iko nje ya hii topic lakini naomba msaada. Nahitaji majina haya kwa Kiswahili…. email me at idapap-tz@yahoo.com ....Please DO send me whatever suggestions you have. I look forward to hearing from you! And now? I am going to sit at my computer and wait…

    Merry Christmas to all of you!!!!! - Sarah


    Ape –

    Chimpanzee –

    Baboon -

    Bear -

    Buffalo -

    Cheeter -

    Deer -

    Dolphin -

    Eagle -

    Whale -

    Fox –

    Utititri -

    Viroboto -

    Gazelle -

    Hippopotamuses -

    Rhinoceroses -

    Hyena -

    Impala -

    Parrot -

    Reindeer -

    Raccoon -

    Swans -

    Tiger –

    ReplyDelete
  7. Mdau wa 22, 2007 10:25:00 PM EAT nitajaribu kukusaidia:

    Ape – Nyani

    Chimpanzee – Tumbili

    Baboon - Sokwe

    Bear - Dubu

    Buffalo - Nyati

    Cheeter - Duma

    Deer - Swala/Paa?

    Dolphin - Pomboo

    Eagle - Tai

    Whale - Nyangumi

    Fox – Mbwa Mwitu

    Utititri - ?

    Viroboto - ?

    Gazelle - ?

    Hippopotamuses - Kiboko

    Rhinoceroses - Kifaru

    Hyena - Fisi

    Impala - ?

    Parrot - Kasuku

    Reindeer - ?

    Raccoon - ?

    Swans - Korongo

    Tiger – Afrika Hakuna Tiger

    ReplyDelete
  8. nami nitajaribu kukusaidia Sarah kadri ya uwezo wangu paku rekebishwa nirekebishwe:

    GAZELLE&IMPALA - wote ni aina ya swala,tofauti zao ni shape za mapembe,rangi na mbio.

    DEER- pia ni aina ya swala ila REINDEER ni swala waishio sehemu za barafu pia wanafugwa kama wanavyo fugwa punda.

    TIGER- ni aina ya chui mwenye mistari anapatikana bara Asia pekee.

    ReplyDelete
  9. Kaka michuzi naomba uwaambie asante sana walionijibu humu na walio nitumia email nashukuru sana.....Ni watoto wa Suday school nafundishaga mara chache nikiwa na nafasi sasa mara wameniomba niwafundishe maneno machahe basi nikajiingiza mtini kuwaambia waniandikie wanataka kujua nini zaidi.... Vingine vilikua rahisi lakini list ya wanyama niliyopewa hayo yalikua yananitatiza....



    Asanteni sana ...Sana ...Nawatakia Christmas Njema na mwaka mpya wenye heri na baraka

    Sara

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...