Kwanza pole na shughuli za kila siku hasa za kutuhabarisha. Mimi ni mdau wako Sylvia kutoka Tabata Dar es salaam nawatakia wasomaji wa blog hii heri ya xmas na mwaka mpya ila napenda kuwakumbusha kwamba ni muhimu kulinda afya zetu hasa kipindi hiki cha sikukuu ili tuweze kusherehekea sikukuu za mwaka ujao .

Kaka michu Nakupa shavu kubwa .

Mdau Sylvia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Sheeeee! Eroo Mishu, hii ni ndito au siangiki?Watu tasema saaaaaana......... Lakini hii ndito iko mahali yake. Mi imeishia hapo.

    ReplyDelete
  2. dada naniliii... hivi hakuna kiti kingine coz naona watu woote mnaopiga picha hapo photo point kiti ni hicho hicho kimoja .....badilisheni
    isiwe kama uniform... teh teh teh mdau .

    ReplyDelete
  3. hii ndito inaonekana imeshiba vizuri nitaitafuta nikiwa hapo dar

    ReplyDelete
  4. Yuko fresh na truely african. Anavutia kwa wale tunapenda wakitanzania halisi. Nawe pia Christmas njema na kheri ya mwaka mpya.

    ReplyDelete
  5. kweli kabisa me mwenyewe ichikiti kinaniboa sio siri we michuzi ebu badili zana hizo kama pesa unapata usituletee mambo ya uniform.

    ReplyDelete
  6. Slivia, mhhhhhh, mitego mingine bwana utatukamata tu. Guu mtoto umejaza ka nini, macho rembuuuuuuu, mhhhh, wakubwa wanafaidi! Msiwe mnasahau kuweka contact zenu jamani!

    ReplyDelete
  7. Wee Silvia, "shavu kubwa" unalompa michuzi ndo lipi hii-looooo!

    ReplyDelete
  8. Mademu wa Tabata utawajua tu.. Hata waogaje, hawatakati... Maji shida!!!!

    ReplyDelete
  9. Unajua Sylivia juzi ile pale Mawenzi Bar Sikukuelewa wakati tunaagana, Ulisema tukutane wapi vile??

    Halafu mbona ile namba ulionipa nimeisahau tena?? Nitumie ingine basi jamani.

    Nitumie kwa kupitia 0755 532 666

    ReplyDelete
  10. Weka e mail yako mtoto tukuandikie, au namba ya simu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...