BANK: Washington Mutual Bank
NAME: Jadi malumbo
ACCT #: 4213965100
ROUTING#: 111993776
BANK ADDRESS
10850 Bellaire BlvdHouston, TX, 77072281.498.2233

Please call any of the people below with questions.
Miraji Malewa 832 741 4452
Nuru Mazola 832 630 8090
Anita Massawe 832 721 3832
Rosemary Mlekwa 832 867 2140
Muddy Chamshama 713 203 4629
Jadi Malumbo 713 419 6803
Karim Faraji 713 702 9050

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. weee Nuru mazora hupitwi? kila sehemu upo?? mmmh..sasa ujo marekani hilo jina la gondwe vp tena umeolewa?

    ReplyDelete
  2. Jamani poleni sana na msiba. Felix tulimfahamu sana mimi nafamilia yangu. Kitu kinachonisikitisha ni kwamba, watu badala ya kuheshimu wakati huu mgumu wa msiba, wanaleta majungu, kama huyo Nuru anaitwa Gondwe, tafuta muda mwingine, sio kwenye nafasi ya msiba. tuwe na heshima jamani!

    ReplyDelete
  3. Salaam na poleni saana wana houstion na bibie mariam kwa msiba.
    Sasa miojitu mingine bwana sijui ni ya namna gani,kweli huyu nuru ni mtihani kinoma lkaini hapa sio mahali pake ,wee mchangiaji wa hapo juu umeshindwa hata kutoa pole .harakaharaka umefika kumshambulia huyu nuru ,tuweni wastaarab kila kitu na mahali pake jamanui lol.
    msubirie a-post picha yake hapa ndio uanze "kumchamba" ,hapo yuko kwenye msiba na yeyote aweza kuwa mwanakamati au muhusika.
    Tuwe na ubinaadamnu watanzania jamani khaaaaa!!!

    ReplyDelete
  4. kifupi Nuru Mazora ni ndugu wa Mariam Janguo umanyemani as you know kuna uzaramu pia hapo ktk Janguo!!! kama hamjui kaeni kimya!

    ReplyDelete
  5. JAMANI MMESHASAHAU MILA NA DESTURI!!! LABDA HAO NI WATANI WA JADI WAKATI WA MSIBA HUWA KUNA HIYO KITU

    ReplyDelete
  6. Kwa undugu kati ya Nuru na mariam hakuna ni kuunga kwa gundi tuu..wee Z humjui nuru tulia

    ReplyDelete
  7. "Sasa miojitu mingine bwana sijui ni ya namna gani,kweli huyu nuru ni mtihani kinoma lkaini hapa sio mahali pake ,wee mchangiaji wa hapo juu umeshindwa hata kutoa pole .harakaharaka umefika kumshambulia huyu nuru ,tuweni wastaarab kila kitu na mahali pake jamanui lol.
    msubirie a-post picha yake hapa ndio uanze "kumchamba" ,hapo yuko kwenye msiba na yeyote aweza kuwa mwanakamati au muhusika."


    Anoni nimekubali kunisahihisha. naomba uelewa kuwa sikuwa namshambulia Nuru, ila nilighafirika kuona kuwa kwa wakati kama huu, tusijali Nuru kapata wapi jina jipya, na vitu kama hivyo. Felix alikuwa kama bro wangu, na ndiyo maana hasa ya mimi kupata jazba, and you are right, tutasubiri siku yake Nuru, then nitatoa dukuduku langu. Mungu ailaze roho ya kaka yetu mpendwa mahala pema peponi.

    ReplyDelete
  8. Tarehe Sunday, January 27, 2008 9:08:00 AM EAT, Mtoa Maoni: Anonymous

    "Sasa miojitu mingine bwana sijui ni ya namna gani,kweli huyu nuru ni mtihani kinoma lkaini hapa sio mahali pake ,wee mchangiaji wa hapo juu umeshindwa hata kutoa pole .harakaharaka umefika kumshambulia huyu nuru ,tuweni wastaarab kila kitu na mahali pake jamanui lol.
    msubirie a-post picha yake hapa ndio uanze "kumchamba" ,hapo yuko kwenye msiba na yeyote aweza kuwa mwanakamati au muhusika."


    Anoni nimekubali kunisahihisha. naomba uelewa kuwa sikuwa namshambulia Nuru, ila nilighafirika kuona kuwa kwa wakati kama huu, tusijali Nuru kapata wapi jina jipya, na vitu kama hivyo. Felix alikuwa kama bro wangu, na ndiyo maana hasa ya mimi kupata jazba, and you are right, tutasubiri siku yake Nuru, then nitatoa dukuduku langu. Mungu ailaze roho ya kaka yetu mpendwa mahala pema peponi.

    JAMANI, HUU SIO WAKATI WA KULUMBANA ,WALA KUTOA MADUKUDUKU YENU YAKIPUMBAVU, KAMA WE KIUMBE ULIOANDIKA HII MSG UNADUKUDUKU NA HUYO BI NURU, BASI MTAFUTE KWA WAKATI WAKO KISTARABU UMUELEZE. BIASHARA YA YEYE ANAHUSIKA VIPI HAPA KTK KIFO CHA FELIX HAIHUSU. JE YEYE AKISEMA NA WEWE MAREHEM HATA HAKUJUI UTASEMAJE? TUMIA USTARABU, UNAKUWA KAMA UMETOKA BUSH JANA.. AU HUJAELIMIKA? MNATOA PICHA GANI HAPA KWA WAFIWA NA JAMII KWA UJUMLA? AS I HAVE SAID BEFORE, LOOK 4HER AND TALK TO HER USO KWA USO.. STOP ACTING LIKE A SKUNK.. HAPA SIO PAHALA YAKE.. AU SUBIRI NA WEWE UFIWE HALAFU NDIO UTAONJA JOTO YA JIWE.. EBOO..

    ReplyDelete
  9. mh jamani kwanza kiubinadamu poleni sana tena kwani kila nafsi itaonja mauti sasa nyie wabongo wenzetu mliokuwa huko nje jamani mmekuwa waswahili kweli kweli na kweli mko ukerewe michu hajakosea. lo mna maneno mengi umbea tele inaelekea wakati mwingine hamna cha kuzungumza. jamani tustaarabike kama ni msiba yazungumzwe jinsi ya kumstiri kiumbe huyu wa mwenyezi mungu sio kutake chance kumdiscuss mtu mwingine. kama nuru ana mambo yake si mumuachie hilo lake. ahh inasikitisha sana

    ReplyDelete
  10. Jamani naomba kutoa pole nyingi sana kwa wafiwa na pia kusema jambo moja tu,Watanzania mlioko uko nje mbona mna maneno sana!
    Huyu Nuru kwa wale wote waishio Houston hakuna hata mmoja asiemjua sio kumfahamu,kwani anajulikana tabia yake sio nzuri ndiyo maana watu wamebadili uwanja huu kuwa wa malumbano na badala ya msiba,ni vyema akajifunza tabia za kujifanya mzungu/mswahili sio nzuri.Dada hukubaliki katika jamii comment mbaya ni nyingi juu yako,JIREKEBISHE!!

    ReplyDelete
  11. POLENI SANA WAFIWA,HUYO NURU NI MTU GANI NA ANAUMUHIMU GANI WA KUMJADILI SASA HIVI?MICHUZI WEKA PICHA YAKE WATU WAACHE KUANDIKA HAPA MSIBANI,WAMWANDIKE HUKO PEMBENI,NI VYEMA NASI WANABLOG TUKAMFAHAMU AU HATA KUMJUA IKIBIDI.
    AHSANTE SANA

    ReplyDelete
  12. Natoa pole sana kwa wafiwa na mwenyezi Mungu naomba awatie nguvu. Ila samahani kwa swali hili mwenye majibu naomba tu aipe. HUYU NURU NI NANI KWANI? AMEFANYA NINI? PLEASE NITOENI GIZANI MANKE NAONA WATU WENGI WANMLALAMIKIA.

    ReplyDelete
  13. kweli Michuzi tunaomba kumfahamu huyu dada kiundani anaonekana ni TATIZO KWA WATU.

    ReplyDelete
  14. Nuru ni mke wa Professa mmoja ivi wa Sheria UDSM, alafu kama una kitchen party, bridal shower, anafanyaga hiyo kazi kwa MALIPO,lakini, sio bure.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...