Home
Unlabelled
bendi ya machozi yaaendeleza libeneke
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Capt G Habash, mfundishe mama jide kutabasam hasa kwenye matukio kama hayo....siku hazingandi ndio 2008 hiyoooo nawatakia kila la kheri machozi band na wengine wote wanaoendeleza libeneke
ReplyDeleteAnon hapo juu ni kweli uliyoyasema, yaani Mam Jide kanuna sana hata hajapendeza kabisa anatakiwa asmile kidogo kuonyesha mafanikio aliyonayo au alikuwa hataki kusindikizwa na my dear husband wake.
ReplyDeleteG. Habash mbona huyu dada hapendezi mpaka sasa....? VIPI!? Sisi tunasubiri kuona wajukuu. Miaka miwili sasa 'ngoma' bado bila bila! Why?! Kamua bwana tuone issues, mkeo wa zamani asije pata pa kuanzia kebehi
ReplyDeleteHuku kuuchuna lazima muda mfupi kabla ya hapo kulikuwa na soo! haiwezekani hata Habash mchangamfu namna ile awe na kufuri la kucheka!
ReplyDeletesasa machozi na kusmile wapi na wapi? lazima akae kimachozi machozi
ReplyDeleteWee Michuzi ,
ReplyDeletembona huyo dada hapo hivyo na kufua chake.
mywife wako hataleta noma kweli
maana wewe kwa mikonoz ?!!!!
loh !!!
haya kaka
mdau kanada
Huyu mama ndio maana akaitwa KOMANDO,
ReplyDeleteYaan hapo ndo maximum smile yake
Michuzi uko discrimatory sana. Umeminya coments zangu kuhusu mimba?!! Labda una hisa huko kwa Jaydee, lakini haikuwa mbaya. Post tu maana si wewe uliyesema. Ni sisi wasomaji wa blog. Hawawezi kukulaumu. Haya, bwana.
ReplyDeleteJide anapendeza hivyo na straight face, Gadna ukichemsha mi na komando nakupumulia tu!
ReplyDelete