Home
Unlabelled
?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapa mzee mzima atakuwa anamuuliza Kipanya kuwa Siku hizi utawala wa Sheria Tanzania umekufa?
ReplyDeleteMagazeti na vipanya ndio vinaaminiwa? Kwamba mtu kama Yeye na Ballali wanahesabiwa wahalifu tayari kwa kuandikwa na magazeti na vipanya bila kufikishwa kwenye vyombo vya sheria ili vithibitishe kama kweli ni wahalifu kabla ya wanasiasa na wabunge kushupalia?
Na hao wanaoitwa mafisadi na wezi wanaitwa hivyo bila mahakama kuwathibitisha hivyo?
Hivi siku hizi Tanzania Gazeti au kipanya kikikwita fisadi au mwongo na kukusingizia kuwa ulitoa document za uongo za malipo ambazo bado hazijathibitishwa na mahakama kama ni za uongo au la inabidi Raisi,Mawaziri, wabunge na wananchi waamini kuwa yale ya kipanya na magazeti ndiyo ya kweli na wayashupalie? Hivi nani mwenye uwezo wa kusema hii document ni halali au si halali kisheria ni mahakama,gazeti au kipanya? Sheria inasema mtu si mhalifu hadi athibitishwe na mahakama hivyo.Hawa mafisadi nani kawathibitisha kuwa mafisadi kisheria?
Utawala wa sheria kama vile umeanza kuaga dunia Tanzania!!!!!!!!!!!!!!! Anyway kila la heri Kipanya.
koloboi@yahoo.com
Mzee wa uwazi&ukweli anatamani kale kamgogoro ka uchaguzi pale Kenya kaendelee ili ajifiche Nairobi walau kwa miezi mingine Miwili,Mhh!!Tawakal&Tawfiq zipo,tutakupandia hukohuko!!
ReplyDeleteHapo michu ni simpo BWM anawaza itakuwaje ikiwa Bw, Bilali ataamua kuanika maagizo aliyokuwa akipewa na uongozi wa awamu ya tatu!! Kuhusu utawala wa sheria, ktk hali kama tulionayo inabidi uwekwe pembeni vinginevyo hatapatikana fisadi yeyote kinachotakiwa ni kuwauliza watuhumiwa waeleze jinsi walivyopata mali walizonazo na kuonyesha kodi waliyolipa, hapa ndipo pa kuanzia.
ReplyDeleteHuyo jamaa wala hata hanihusu kwa sasa,
ReplyDeleteAseme asiseme, kama ni hela ashakula na kina nanihii,
Hapa hesabu zangu nawinda $500 za michuzi tu.
Biashara kwanza, mambo mengine baadae.
Jamaa-Arusha,
shaqeir@yahoo.com
"...HAKA SIJUI NAKO NIKAMWAGIE CHLORIDE MONOXIDE, AU SIJUI ZINK BICABONATE AU SALFA AMPICLOXE IKAYEYUSHE NA MENO KABISAAA"
ReplyDeleteWe Popo Wewe, We Popo, popo popo!!!
ReplyDeleteHeee shauri yako. sie tupo na yangu masikio.
Teh teh teh teh!! Salfa Ampicloxe huo mchanganyiko si mchezo