jamaa wanaotuhumiwa kumshambulia mhariri wa gazeti la mwanahalisi saidi kubenea wakiwa mahakamani ya hakimu mkazi kisutu kusomewa mashtaka ya shambulizi hilo ambalo walikana. kesi yao imepangwa kutajwa tena februari mosi mwaka huu na wote wako rumande. kubenea amesharejea toka india alikopata matibabu kwa siku kumi na anaona kwa jaaamu..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Je, hao ni waliomshambulia kweli? Kama hivyi basi nasifia polisi Tanzania kwa kazi waliofanya. Wamepata dhamana au wataendelea kukaa Keko?

    ReplyDelete
  2. Bwana Michu, mkao wali kaa hao na unyama walioufanya. Kama watapatikana na hatia ni kufunga na funguo unatupa. Wakitoka kwa msamaha wa raisi basi wakute wajukuu zangu wanalea ..... Kudadeki!

    ReplyDelete
  3. Hawawezi kuwa ni hawa unless Kubeneka ni alikuwa anatafutwa kwa ugoni! Sisi tunajua an watu wakubwa sana na hawa wachovu si rahisi kabisa kuwa wamehusika. Ngoja tuone

    ReplyDelete
  4. Sir ISSA VIPI KESI YA BoT JAMAA STAKE HAPA NG'AMBO WATU WASHAIJUA IKO NANANI.

    ReplyDelete
  5. hawa walitumwaa hivyo lazima wamutaje nani boss wao.

    ReplyDelete
  6. Mi wala hata siko kwa hao jamaa waliom-benea jamaa,

    Hapa hesabu zangu nawinda $500 za michuzi tu.

    Biashara kwanza, mambo mengine baadae.

    Jamaa-Arusha,

    shaqeir@yahoo.com

    ReplyDelete
  7. Kaka michuzi namba ninayoina kwenye computer yangu ni 3000000. nimeshakutumia e-mail.

    ReplyDelete
  8. Kaka michuzi, naandika tena manake naona post yangu siioni kwenye blog. computer yangu inaonyesha namba 3000000, nimeshakutumia email ambayo nime-attach picha inayoonyesha picha niliyopiga. niko hapa hapa Tanzania, Dar es salaam.

    ReplyDelete
  9. Naungana na wadau waliotafakari na kuona kuwa wanaoonekana si wale waliobuni mpango huu ila wametumwa na WAKALA wa aliebuni au na yule MBUNIFU mwenyewe. Tanzania imejaa watu walio na mioyo ya KIMAFIA!!! Nasikia tesesi kwenye JAMBO FORUMS huyu kigogo aliyebuni huu mpango katajwa!!! Mimi nawasilishs tu, fuatilieni!!

    ReplyDelete
  10. Naungana na wadau waliotafakari na kuona kuwa wanaoonekana si wale waliobuni mpango huu ila wametumwa na WAKALA wa aliebuni au na yule MBUNIFU mwenyewe. Tanzania imejaa watu walio na mioyo ya KIMAFIA!!! Nasikia tesesi kwenye JAMBO FORUMS huyu kigogo aliyebuni huu mpango katajwa!!! Mimi nawasilishs tu, fuatilieni!!

    ReplyDelete
  11. HAWA NI RAIA WA KAWAIDA TUU..WAMESHAPEWA CHAO..WALA SIO WALIOMWAGA ACID...UNACHEZA NA BONGO NINI!!! muvi tuu hiii

    ReplyDelete
  12. dah wapenzi wa man u wengi wao ni wezi afadhali wa wapenzi wa "bwawa la maini" kama Profesa Michuzi. hahahahahahaha

    ReplyDelete
  13. na huyo wa kati kati vipi!kwani maafande walimteka direct kutoka 'oldi traffodi'

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...