Home
Unlabelled
dar machweoni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Na machweo ya mitaa ya GONGO LA MBOTO vipi?
ReplyDeleteNa Manzese darajani - juu kabisa pale vipi? Michuzi uwe unaitembelea DSM bwana. Unapenda tu kuonesha magorofa. Dsm si tu maghorofa. Onyesha japo masela wakiganga kama stendi ya basi, daladala zilizokula nyomi, abiria wanaosubiria daladala jioni pale Ubungo nk......... Be creative baba!
ReplyDeletewooow! Nice picture.
ReplyDeleteNaam yakhe Issa bin Michuzi,hebu basi waonyeshe hao wadau kimbizi vitongoji mbalimbali kama vile Mburahati,Vingunguti,Sharif Shamba,Gerezani,Kariakoo,Mbezi,Mikocheni,Kigamboni,Ilala,Oyster Bay,Kijitonyama n.k.
ReplyDeleteDar ndio sasa KUMEKUCHA!!!
Michu.. hizi picha umeweka tuone majengo hayo hao.. au jinsi mji ulivyo na kiza??
ReplyDeletemichuzi tell MJENGWA to give you a crash course on creativity,maana at times hii meli inakosea njia,hatutopenda iishie kugonga mwamba
ReplyDeletewewe anoy wa hapo juu hamnazo kabisa, Kama ni Meli imepata nahodha babkubwa na ndio kwanza ingini imepamba moto na iko kweli line yake hakuna cha kugonga mwamba wala nini kama ni mshabiki wa mjengwa nenda kwake usilete fitna hapa hama tu baba utuachie chombo chetu wajuaji. michuzi hajakosea kuonyesha majengo hayo maana nikama anatoa message kwa walioko ughaibuni kwamba na home nako mambo yaana kuwa safi WEWE UNATAKA KILA SIKU AONYESHA VIBAYA TU KWA NI VIZURI HAMNA??? VIBAYA VIONYESHWE NA VIZURI PIA. KUHUSU MAISHA YA USWAHILINI MARA NGAPI AMEYADHIHIRISHA HUMU????
ReplyDeleteSIO SIRI DAR IKO BOMBA BWANA HATA ULAYA KUNA MITAA MIBAYA SANA WATU TUMEIONA LAKINI CNN AU BBC WANAIONYESHA KWENYE TV ZAO???? SI BORA HATA HUYU SHEHUNA WETU MICHU!!!!
MZEE WA BUNJU
misupu towekee na za mitaa ya mchafu koge na mchamba wima huko mbagala tuone
ReplyDeletehakika ndugu michuzi anafanya kazi ambayo anastahili kupewa sifa nzuri. picha zake karibu sehemu nyingi inaonyesha. ila nafikiri ikiwa tutapata picha kama zi mikoani na wilayani siyo mbaya.
ReplyDeletepicha kama pale sinza, ubungo an sehemu nyingi ila kwa ujumla kazi yako ndugu ni nzuri nahayo niliyoelezia ni kama mambo ya ziada. napenda kumjulisha dada kalunde ili kutangaza biashara yako ni nzuri kupitia ndugu michuzi ili wanandugu zetu hapo bongo waweze kunufaika wao na wewe. shukrani mohammed