Home
Unlabelled
faulo kwenye mdau wa milioni 3?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ndugu yangu Machu pole najua ukipata hiyo hela unamalizia nyumba jaribu kubadilisha computer labda hiyo haitaki ushinde
ReplyDeleteNdugu yangu Machu pole najua ukipata hiyo hela unamalizia nyumba jaribu kubadilisha computer labda hiyo haitaki ushinde
ReplyDeleteWe manchu usiumize kichwa, kama inaandika error chukua maker pen andika mwenyewe kwenye hiyo monitor yako
ReplyDeleteHa ha ha..., hiyo pc yako ni kama ya CHIBIRITI nini? inawezekana imechoka ndo mana mzungu akaitupa, we ndugu yangu ukaona dili kuikota na wewe unajidai eti una Pc,
ReplyDeleteAu na wewe unataka kutuambia vitu vya zamani ndi vinauzwa bei kama mwenzako!! badilisha kimeo hicho la sivyo dola 500 utazisikia hewani!!
Ha ha ngoja nikakate salad mimi ili maisha yaende!
Si ndo zile PC za wabeba mabox. Kwanini ikatae wakati hi ni program ya Dunia nzima na inakuwa centrally controlled. Lazima hiyo PC ni kimeo na IP wako fake. Michuzi sisi tunaendelea na count down towards $ 500. Achana na wababaishaji hawa. Ni sawa na yule wa sayari ya mars. Fisadi nkubwa yule! Inawezekana naye yuko Malta tayari!
ReplyDelete..huyu ndo wale wale wa sayari ya mars!michuzi wasikupotezee muda watu kama hao!kwani alichofanya yule jamaa na huyu ni sawa sawa tu kinaweza fanyika kwa mchezo huo huo!
ReplyDeleteNi kweli jana mchan hii counter ilikua haipo, Nikazania imeondolewa. Kumbe bado game ipo. kweli itakua bahati ya mtu.
ReplyDeletenaungana na Machu kweli muda mwengine huwa inaandika error imeshanitokea mara moja na mimi
ReplyDeleteAnos, bwana kaka kuna comment najaribu kukutumia lakini uziweki hewani au labda nakosea niabalishe
ReplyDelete"Si ndo zile PC za wabeba mabox". wewe mwanga uliyesema maneno haya hauna akili kabisa. Wewe nani kakuambia computer ya wabeba na wasiobeba maboxi zinatofautiana wakati wa kuonyesha error? hata kama unayo ya millioni lazima kama system ni mbovu unapata error. Nyie ndo wale mmesomea chini ya mnazi halafu kazi yenu kusagia wenzenu tu. Get a life looser.
ReplyDelete