Home
Unlabelled
jk akiwa chato
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
CHATO'S LAND...Wazalendo watupu!bendera ya taifa imetuhakikishia...long live TZ!
ReplyDeletekusema ukweli wajameni mi huyu baba nikimuona iwe kwenye picha au kwenye tv nasikiaga raha tu, sijui ndo nampenda au nisemeje? sina tu jinsi ila nakula kwa macho.
ReplyDelete"naomba kuwakilisha ni mtazamo wangu binafsi"
Shati lake nimeli mind! lime kaa Kiboyz 2 men kapendeza kweli mkwere wetu original
ReplyDeletekajamaa kanazidi kunenepa wakati nchi bado iko palepale. ukweli nionavo mimi sisi tunawatumikia wanasiasa, wala si kweli kwamba wao wanatutumikia sisi.
ReplyDeleteMbona hamridhiki na amani walioiweka kaimu hao wanasiasa hapo TZ,ati kanenepa...ndio fikra za 'very shallow people,'hebu angalia last 45 years za amani halafu linganisha na jirani kenya,uganda,burundi,rwanda,congo...je niendelee?LONG LIVE MR PRESIDENT AND KEEP UP WITH GOOD WORK DESPITE BOT SCANDAL!!!
ReplyDeleteJamaa siku hizi ka mwili kana kuja kuja,
ReplyDeleteAjiangalie asijekua kama uncle ben.