Home
Unlabelled
kivuko
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi ndio zamani kigamboni nasikia kivuko kwa kamba kinavutwa.
ReplyDeleteBeautiful Tanzania indeed!!!
ReplyDeleteLand of Green & Honey!!!
michuzi ebu tusaidie kutangaza habari hii,kwanza namshukuru mdau aliyeweza kuileta hiyo picha,mimi ni kwetu huko manda na lazima tuvuke hicho kivuko cha kushangaza huu ni mwaka zaidi ya 20 kinavutwa na kamba,ni hatari balaa na huo mto kwa mamba ndo usiseme.tunaomba serikali yetu itusaidie kivuko kipya...kwani hata huko kuna watanzania au baada ya kufa kolimba ndo basi tena kumesahaulika.......
ReplyDeleteacheni kupigia kura CCM maana ndio mafisadi wanaoleta umaskini kama huo
ReplyDeletejamani nyerere kaacha nchi na vile vile vya wakoloni, miaka arobaini na kadhaa sasa,usiniambie hii lazima itakuwa sehemu za waislamu ambazo nyerere alikuwa hazitambui.by the way michuzi huyu hamidu bisanga ni yule mdau waliomaliza pesa za yanga miaka ya sabini?
ReplyDelete