Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Wasichana ya Korogwe, Bibi Mary Singano akiagana na Mke wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa baada ya kumaliza ziara ya siku moja katika shule hiyo juzi. Katikati ni Mama Bertha Mgombelo ambaye ni mkereketwa wa harakati za wanawake aliyefuatana na mama Lowassa katika ziara hiyo
Home
Unlabelled
korogwe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Michuzi nisaidie hapa. Naelewa mke wa rais ni "first lady". Sasa mke wa waziri mkuu huwa ni nani? Na mke wa waziri mwingine, mbunge, mkuu wa mkoa nk, hapa inakuwa vipi?
ReplyDeleteMichuzi, huyo ni "Mkuu wa Shule" na siyo Mwalimu Mkuu! Mwalimu mkuu ni yule wa shule ya msingi.
ReplyDeleteHiyo ndiyo protokali ya wabongo.
MAMA PM UNAJUA KUONDOA PAMBA, KWELI UNAREPRESENT.
ReplyDelete