rais wa baraza la habari profesa issa shivji na katibu mtendaji wa tamwa ananilea nkya wakitoa maelezo kulaani kitendo cha mhariri wa mwanahalisi saeed kubenea juzi
mjumbe wa kamati ya umoja wa wahariri sakina dewji akilaani kitendo cha kumwagiwa tindi kali mhariri mwenzao wa mwanahalisi saeed kubenea leo. wengine ni mwenyekiti mtendaji wa ipp reginald mengi na mwenyekiti wa misa-tan ayoub rioba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Wote mnaoonekana hapo juu tunajua mna interest zenu na mnachukua habari ya kubenea ku-achieve your aspirations.

    Wacheni kulaani. Shirikianeni na vyombo husika kutafuta solution ya tatizo. What really happened. Mtafutieni Kubenea msaada wa kisheria, Tafuteni pesa za kumtibu nje ya nchi ikibidi, na sio kutuonyesha sura zenu. Kubeneya needs your help and not just your sympathy.

    ReplyDelete
  2. nakubaliana na maoni ya anoy. wa 7 januari 2008 saa 7:39:oo PM. wanavyolishikia bango jambo hili kwa kutumia hivyo vyombo vyao je wana uhakika kuwa kuumizwa kwake kumetokana na uandishi au makosa/ matatizo binafsi? yeye ni binadamu kama walivyo wengine inawezekana kabisa anayo matatizo yaliyomsababishia janga hilo. ni vema wakasubiri uchunguzi wa polisi ama siyo wanaweza wakashangaa wenyewe!!!

    ReplyDelete
  3. Eti subiri uchunguzi wa polisi...! Maraya mwisho wewe umesikia lini mtu akavamiwa ofisini, na mapanga, na tindikali kama wanavyosema kwaajili ya " matatizo binafsi". Huyu jamaa katishiwa sana, amekoswakoswa sichini ya mara 3. Polisi mbona sijasikia wakifanya lolote kuhusu matukio ya nyuma! Hii tabia ya kitishia maisha ya waandishi ni mbaya sana! Tusetegemee tu polisi, na poa raia wema wasaidie kutoa information. Watanzania tusiwe waoga!!!

    ReplyDelete
  4. Comments mbili za mwanzo hapo juu ni very unfortunate. Inaonekana dhahiri kabisa waliozituma wanajua wanachokifanya. Nao pia wanamwaga tindikali ndani ya blog. Huko bongo iko kazi.

    ReplyDelete
  5. jama ni hili libaba issa shivji ana roho mbaya kama sura yake...wadau ukiingia kumi na nane yake utamjua yeye ni mkaanga sumu....sikupendi. Michuzi nimeondoa dukuduku langu....i hate you!! Prof uwe wewe..%$#$^$% yako!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...