
TAARIFA MPYA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU
Tunawataarifu ndugu, jamaa, marafiki na watanzania wote kuhusu kumuaga ndugu yetu mpendwa Renatus Kabakaki kesho tarehe 29/01/2008, kuanzia saa 12:00 jioni, mpaka saa 2:00 usiku.
Tendo la kumuaga litafanyikia katika anuani ifuatayo:
T. Crib & Sons
Funeral Directors
Victoria House,
10 Woolwich Manor Way,
Becton,
London,
E6 5PA.
Tel: 0207-476-1855
By bus 101 and 474 from East Ham and 262 from stratford
By DLR from Canning Town to Becton station which is opposite the address above, near ASDA Becton.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...