WADAU KUNRADHI. HIVI SASA TUNAJONGELEA KWA MDAU ATAYEKUWA WA MILIONI 3 KUINGIA KWENYE GLOBU HII YA JAMII, AMBAPO KAMA MAMBO YAKIENDA VYEMA NA MFADHILI WETU, MDAU HUYO ATAJISHINDIA ZAWADI YA DOLA 500.
MASHARTI YATAKUWA NI YALE YALE TU; ATAKAYETHIBITISHA KWA KUTUMA POSTI YAKE KUWA NDIO YA MILIONI 3 KWA WAKATI MUAFAKA NDIYE MSHINDI.
AIDHA, BAADA YA KAMATI YA UFUNDI YA GLOBU HII YA JAMII KUKETI NA KUTAFAKARI KWA KINA, IMEONEKANA KWAMBA SI AALI KUANGALIA KAMA MDAU HUYO WA MILIONI 3 ATATOKA WAPI - UGHAIBUNI AMA BONGO - KWANI DHANA YA BAHATI NASIBU HAINA MUAMANA.
KWA MAANA HIYO MDAU YEYOTE POPOTE ALIPO DUNIANI AKITHIBITISHA KWAMBA YEYE NDIYE WA MILIONI 3 ATALAMBA DOLA 500 NA UAMUZI WA KAMATI YA UFUNDI WA GLOBU HII NDIO WA MWISHO.
NAOMBA KUWASILISHA...
MICHUZI


habari ndugu michuzi, mm naomba kujitokeza na kusema kuwa zawadi hiyo naiomba mm kwani nafikiri mm ndiye mfunga dimba hapa.george mavura.Philadelphia, USA.
ReplyDeletegrmavura@yahoo.com
ReplyDelete7022terminal sq
19082
PA.
mm nahisi ndiye mshindi.
kutuma post?? lazima ujiandikishe? wengine mara yetu ya kwanza kuingia hii blog boss, msaada
ReplyDeleteMie sio mtalaam wa mtandao lakini huwa kuna kafundi kanafanyika kwenye web, hako ka technologia ukifika namba uliyoset inaonekana kwa mambwembwe kuna ka pop up kanasema kuwa wewe ni mtu wa hiyo namba iliyosetiwa kama kwa hii blogu ni wa milion 3. Hivyo inakuwa rahisi huyo mtu wa milion 3 kujijua kuwa yeye ni wa milion tatu na nyie wenye web blogu yenu munajua kuwa mtu wa milion tatu kapatikana, na hiyo njia inakuwa haina ulalamishi. Hebu fanyeni hako ka ufundi kuondoa malalamiko.
ReplyDeleteMichuzi mimi nikishinda hiyo pesa nitadonate popote pale ambapo kunasaidia watoto yatima,na ukumbuke ni mimi mdau wako mbeba box
ReplyDeleteyep yep
ReplyDeleteBraza Michuzi,
ReplyDeletemwaka 2010 nakuja kugombea Ubunge ndani ya Bongo, naomba endorsement yako braza ili tujenge nchi.
itabidi nikutafute tupate lunch ya usiku nikija vekesheni ila simpeti mai waifu wangu mpaka na wewe umelete mai waifu wako manake brother Michuzi wewe kwa Mokonooz hatari!!!
Mbona wengine hatuelewi, tutathibitishaje kuwa ni wa ml 3? Maana kila comment inakuja annon
ReplyDeleteTafdhali fafanua tuweze kuelewa maana mimi ni mmoja wa wadau wakuu wa hii blog
Nikipata zawadi au hapana, sijali, la msingi mchezo uwe fair! Siyo kubebana kama inavyotaka kutokea hapa~
kaka michu usitake kuleta kamchezo kako ka kifisadi,zingatia;wewe ni m-bana comments,pili hata ulaya phone in competitions mshindi alikuwa anachaguliwa kabla na wengine kuzungwa sasa suprising mshindi wako ambaye atakuwa mdau wa mil 3 atakuwa mwanamke cos utajidai kubalance gender sasa usituzuge ,tuache tuenjoy blog sio ahadi hewa,mbongo ni mbongo tu
ReplyDeletePOST HII NDIO YA MILIONI TATU NA NIMEITUMA WAKATI MUAFAKA.
ReplyDeleteSASA NASUBIRI KAMATI YA UFUNDI IWEZE KUFIKIA UAMUZI WA MWISHO.
ASANTE
hot4life@hotmail.com
nadhani mi ndo mshindi, sababu sielewi mcezo unavyochezwa, no maelezoz
ReplyDeleteokay michuzi na mimi nimo...
ReplyDeletesthugs4j@gmail.com
Braza Michuzi najua mimi ninashinda, isipokuwa hivyo nitakujumuisha katika listi ya mafisadi!!
ReplyDeleteHi Bro Michuzi,
ReplyDeleteI Know am the one,p'se send me the money.
Upendo Kunda.
Mambo. Mimi nimefungua blog yako na kujikuta ni wa MILLIONI TATU, lakini nimeshindwa jinsi ya kuweka ushahidi maana hapa nilipo sina KAMERA. Inasikitisha, lakini ndiyo imetoka. Tayarisha utaratibu wa kisayansi ambapo yule anayefungua uweze kumtambua haki itendeke. Shindano lako naona hujaliwekea vigezo vya kisayansi vinavyowapa haki sawa washiriki, walioko UGHAIBUNI, Tanzania bongo, Tanzania mikoani na Tanzania Wilayani/vijijini. Nawasilisha.
ReplyDelete