Home
Unlabelled
salamu toka sweden
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wazazi wenu wakibeba mabox huko wawewanakumbuka na kujenga nyumba huku au hata kurekebisha hiyo maana hilo dirisha hata hewa haiingii vizuri na joto hili mtakufa
ReplyDeletehongera mbeba mabox kwa kuwapeleka watoto bongo, wale vumbi kidogo ili wapate kinga.
ReplyDeleteJamani madirisha mbona za kibongo?
ReplyDeletevipi 'dabo glezingi'hamjasikia?
ahh lakini watoto wazuri?
Jamani msishangae,huyu mdau wa sweeden amejitahidi,hapo ni kijijini kwao,ndio maana hayo madirisha mnayaona madogo,mnakua kama hamzijui nyumba za vijijini?halalafu mwenzenu kijijini ameweka mpaka makochi na vitambaa!!anastahili pongezi kuwapeleka watoto wa ulaya kijijini.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteNadhani mdau hapo kaboronga, maana fanicha zote za ulaya zinajulikana kama zimetoka kampuni ya IKEA au 'flat pack' toka China ambazo utafanya DIY(Do It Yourself) kwaku unanisha skurubu na nati mwenyewe ili upate fanicha.
Hizo fanicha ktk picha za dogo hao ni za pale kwa wachongaji fanicha Gerezani DSM, Manzese au Changombe ambazo ni imara kweli kweli kuliko za IKEA au Flat pack za China.
Huku ugaibuni tunazitamani kweli kweli maana zaweza kudumu miaka 20 hivyo zitafutiwe soko ughaibuni kwa mtindo wa 'flat pack Tanzania.
Mdau wa
Helsinki
Finland
wee ndondo hapu juu....picha ime pigwa Tanzania...read before u decide to comment imbecile....
ReplyDeletehiyo picha bila kusema inajulikana kama ni bongo kwa hayo madirisha na stile ya kuweka vitambaa juu ya makochi
ReplyDeleteWabongo kwa majungu huwawezi.
ReplyDeleteLakini kweli watoto wanafanana na 'Henrick Larson'!!!
ReplyDeleteWe Michuzi mbona umebania koment yangu wewe.
ReplyDeleteTulikuambia mwaka huu 2008 acha UKUDA, kumbe bado hujaacha. we vipi wewe!?!