wadau kunradhi. kutokana na maombi ya wengi nimelazimika kufungua tena geti la salamu za mwaka mpya pamoja na picha katika globu hii ya jamii. nimeambiwa januari ndo mwezi wa kutuma na kupokea salamu, nami nikiwa tarishi wenu sina jinsi ila kusalimu amri. kwa mdomo mwingine ni kwamba nitaendselea kupokea salamu hadi mwisho wa mwezi...
Home
Unlabelled
salamu za mwaka mpya ruksa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


watu wengi wamelalamika umewabania salamu zao kama mimi nimejikatia tamaa siku hizi labda uwe maarufu ndio salamu zako zinawekwa hapa hata haya malalamiko najua utatoa lakini sio muhimu nilikuwa nakutumia ujumbe wewe iliukufikie kazi njema
ReplyDeletehebu kaka michuzi naomba utuelekeze jinsi ya kuweka picha zetu hapo mbele na kutuma salamu za mwaka mpya mana tunashindwa kwakweli.
ReplyDeleteBro Michuzi nimefurahi umefungua geti hili,malalamiko yangu ni kwamba either email yako hufungui au sehemu ulioweka kukutumia email haifanyi kazi au kama mdau hapo juu alivyo sema mpaka mtu uwe maarufu ndio salamu zinawekwa.Na wewe unadai ni tarishi, ninachoomba tufahamishe vipi mtu akitaka kuku contact au ili message yake uiweke ni njia zipi tupitie. Usiibane message yangu nakuomba ifanyie kazi.Labda sie wa mbali hatujui blog yako ina function vipi.
ReplyDelete