
dk. sira mamboya, katibu mkuu wa chama cha ukoma tanzania akiongea na waandishi wa habari kuhusu siku ya ukoma Duniani kushoto na kulia ni watoto waliopona ukoma Ame Juma Mohamed (13) na Sahira Adamu Hamad (11) ambao wamechaguliwa kusoma tamko la siku ya ukoma duniani katika mkutano utakaofanyika Uingereza mwaka huu.
Maskini mie nilizani Ukoma ulishaisha Bono siko izooooooooooooooooo kumbe bado ni tatizo dah
ReplyDeletewewe naye anon wa 8:35:00 unaongea pumba kama ulikuwa una cha kuongea ni heli ukalale kuliko kusanifu
ReplyDeleteWewe Anon wa 10:57:00 ndio huna cha kuongea bora hata mimi hapo juu kwa sababu wewe hata pumba za kulisha kuku huna ila unatoa usaa tu. mtu mzima ovyooo!
ReplyDeleteLakini seriasli nilizani Ukoma ulishatokomezwa Bongo. Kwani cha ajabu ni nini hapo? kwnai hamna magonjwa ambayo yalishatokomezwa ktk historia ya mwana adamu?