
kunradhi wadau watukufu,
nimekuwa nikipata maelfu ya email ya wadau wakileta anuani zao bila shaka kwa dhana kwamba mdau wa milioni 3 atachaguliwa kutokana na hizo email. ukweli ni kwamba mdau wa milioni tatu atapatikana mara tu baada ya kuniletea picha ya kipande cha namba inayoonesha 3,000,0000 pale chini kulia na si vinginevyo. mfano ni kama huo hapo juu ambapo tik..tok... inaelekea kimiani - kazi kwenu
nimekuwa nikipata maelfu ya email ya wadau wakileta anuani zao bila shaka kwa dhana kwamba mdau wa milioni 3 atachaguliwa kutokana na hizo email. ukweli ni kwamba mdau wa milioni tatu atapatikana mara tu baada ya kuniletea picha ya kipande cha namba inayoonesha 3,000,0000 pale chini kulia na si vinginevyo. mfano ni kama huo hapo juu ambapo tik..tok... inaelekea kimiani - kazi kwenu
Kumbe ndo hivyo! Ebu rudia tena maelezo yako haya? Unataka kusema tukikuletea hiyo picha watu 10,000 itakuwaje? Mbona formula na rules za hii game zina-changa kadri muda unavyokwenda?! Hapana lazima kuna namna! Mimi niweka counter kwenye laptop yangu, nimeipata kwenye google. Niko sure. Ila tu, tafadhali jitahidi kuachia comments constantly Usije zirundika na kuziachia kwa mkupuo! Itakuwa mbaya sana, maana wale ambo kwao ni night kwa wakati huo watakuwa wameliwa na utakoma kwa malalamiko!
ReplyDeletePoa...Mshindi wa $500 ya Man na Arsenal imekuwaje tena, mbona kalenda nyingi misupu?
ReplyDeletehey what do you mean?
ReplyDeletebab mithupu inatuyuyesha rules na sheria kibao
ReplyDeletemdau wa philly
Mita yako inakimbia haraka sana. Wakati mwingine inaruka namba, ni vigumu sana kuifanyia taiming.
ReplyDeleteMichuzi
ReplyDeleteHawa jamaa wengine wasikuchanganye mshikaji kama hawaelewi waache aiingii akilini kama watu wawili mkafungua blog wote mkapata namba 3000000 acheni upuuzi bwana mnaturudisha nyuma kwani lazima muwepo kwenye hii blog fungueni nyingine zisizoeleweka hii inaeleweka
We annon wwa 3;31:00 kumbuka unapofungua wewe blog jua ya kwamba kuna mtu mwingine chumba cha pili naye anafungua sio kama mita inakimbia elewa hilo
Maana ya Michuzi hapa ni kwamba utakapofungua blog na ukakuta namba 3000000 pale chini basi wewe ndiyo mshindi fanya kila njia apate hiyo picha inayoonyesha hiyo namba kwenye kompyuta, piga picha hata na simu mpelekee kwani haiwezi kutokea mtu mwingine sehemu nyingine naye akawa na namba hiyo MSITUCHELEWESHE BWANA
Michu Aluta Continua
kaka michuzi mbona wengine hatuoni emails tunazokutumia au na zenyewe unabania ni siku ya tatu mfululizo
ReplyDeletekaka nimekubali sheria ni kali muno siku nyingine ubadilishe naona vigumu kupata mudau wa hiyo dola 500 bila shaka lazima atayalishwe
ReplyDeletevalentineannosy@yahoo.com
ReplyDeleteBro michuthi Tik Tok yako rekebisha speed ndogo sana M3 hizo bab.
ReplyDeletesadock_graucy@yahoo.co.uk
Mh!! hii mbona haijatulia, yani michuzi unataka watu wakae na camera zao tayari kama wewe unavyokaa na yakwako kila wakati!!
ReplyDeleteMshikaji unanjama za kupromote professional yako nini? hebu tuambie vizuri!!
Na kama mtu hana camera au simu yenye camera na amefungua na kukuta hiyo no. afanye nini? ina maana atakuwamshindi halali, ila kwakuwa hana camera wala simu ya kumuwezesha kupiga picha afanye nini? please bro, tunaomba ufafanuzi, kwani sio kila mtu anayetembelea blog yako ana camera!
Halafu bro, some times ukiungua hii blog huoni number!! hii inakuwaje jamani au ndo njama zenyewe!!
ReplyDeletePia sasa hivi nimefungua hii blog halafu nikaangalia watu waliotembelea hii blog kuanzia sasa na 20 minutes later, cha ajabu sipo kwani katika nchi zilizipo hapo sijaona nchi ambayo mimi nipo, hiyo satelite yako vipi mzee?