

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SIFA ZA KIJINGA!!!!!!....
ReplyDeletePapa Upanga
Huyo Uhuru Kenyata kaleta umbeya tu anajua Kibaki alichafanya hana lolote zaidi ya kusubiri kupewa uwaziri tu.Siasa za Afrika bwana ovyo sana sasa anajua fika wamesababisha mauaji makubwa ya raia wasio na makosa afu analeta ujumbe kwa JK wa Kibaki sasa JK afanye nini?Au ndo kale kausemi ka Kibaki kushangaa why JK mpaka leo kakaa kimya bila kumpa Pongezi?Uhuru Kenyata kwa mtaji huu ndo kakiua kabisa chama cha KANU ambacho Mhasisi wake ni baba yake mara kumi angilishirikiana na ODM.
ReplyDeleteINAPENDEZA KUONA SERIKARI YETU IKO MAKINI KIASI GANI,NA HASA KUTOKURUPUKA MKUNTAMBUA MTEULE WA MASHAKA KAMA ALIVYO FANYA RAIS MTARAJIWA WA SHIRIKISHO LA AFRIKA MASHARIKI.
ReplyDeleteNdio mnataka waje kwenye Federation hao na ukabila wao sisi Bongo (Home)hatuna ujinga huo waambieni kabisa hata hao wachache waliopo hapo na kuinsult watanzania sijui chiriku sijui white elephant wapi nyingi Bongo ndio NY Yenu na tunaleta undergraound kama ya hapa London soon. Amani Tz amani Dar jiji la maraha nalimiss kinoma
ReplyDeletePeace ya'll
Kesi ya Nyani unapelaka kwa Tumbili.Unategemea nini???
ReplyDeleteMimi watu wakimponda nyerere huwa nawashangaa sana.Tanzania tunajivuna sasa,hatuna ukabila kama wenzetu sabau ya Nyerere.Huu ni wema usiopimika aliotuachia Nyerere.Wenzetu sasa wanahangaika kwa vile walimkosa mtu kama nyerere,ambaye angewajengea upendo,umoja na mshikamano miongoni mwao bila kujali rangi,kabila,udini,ujimbo....
ReplyDeleteMungu ailaze mahali pema peponi roho ya Mwalimu.Tutakukumbuka daima.
Wakenya kweli wanaamini kwamba Tanzania tunaweza kusuluhisha mgogoro wao.Mimi binafsi nadhani hilo haliwezekani kwani hata sisi wenyewe mgogoro wetu wa Zanzibar hatuja usuluhisha sasa iweje tuweza kusuluhisha balaa kubwa la wizi wa kura uliofanywa na Watani wa jadi wetu.
ReplyDeletemambo ya wizi wa kura sio mageni hata Nyumbani kwetu na hiyo yote inatokana na Serikali nyingi za Afrika kukataa kuwepo na Tume Huru za Uchaguzi.Wewe uliona wapi simba ikicheza mechi na watani wao wa jadi yanga, mwenyekiti wa Simba ndio achague refa wa kuchezesha mechi hiyo.......unategemea Yanga itashinda.Sasa Rais ambaye yupo madarakani ndio anachagua Tume nzima ya Uchaguzi nini unategemea kitatokea...................hahahahaha ni wizi tu wa kura na machafuko baadaye
Lakini jamani wakenya wanapenda mademu wetu wa kitanzania wacha tu mimi hawa watani wakija inabidi tufungie mademu wetu kabla mapepa hayajatoka.Maana naona huu ujirani umefika jikoni na mademu wetu walivyo bomba basi ipo kazi.Any way naona jamaa wanatutaka tuwashauri na hiyo ni sifa kubwa.Karibuni watani maana tuna mengi ya kuwaambia kuhusu ukabila.
ReplyDeleteKenya we hope for the best but tribal conflicts have to stop.there is no magic like one love watani.Don't have your head up too high because western countries mention Kenya everyday,be wise.You will always be African on face of the earth.Violence never solve anything look at Iraq today with no solution on the table.Be wise people.UMOJA NI NGUVU.
ReplyDelete