jk akisalimiana na baba wa waziri mkuu mzee xsavery kayanza pinda ikulu ya chwamino leo mara baada ya jk kumwapisha mwanae kuwa waziri mkuu. katika ni mama mzazi wa waziri mkuu bibi albetina kasanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Tunataka maisha bora ili watanzania life expectancy iongezeke na kufikia kama hawa wazazi wa waziri mkuu-Pinda.

    ReplyDelete
  2. The couple realy seems to be Down to earth,considering the Son being a civil servant(In state house-Security)for 22yrs!!,and the fact that He(Mr.Pinda)worked under 3 different Head of States that somehow tells you He is Disciplined.
    Good Choice JK-i salute You!!

    ReplyDelete
  3. Mmh ! Baada Ya Miezi Sita Huwajui Tena Hao Watakavokua Soapsoap

    ReplyDelete
  4. Du kweli si mchezo. Picha ya wazee inaonyesha kweli jamaa ni mwaminifu kwa serikali. Sipingi kwamba alifanya(alifundishwa) kazi na Julius.

    ReplyDelete
  5. Honestly,jamaa anaonekana kutowa mfisadi,wazazi wae wako very simple.Ni kiongozi bora

    ReplyDelete
  6. sasa huyo wa tatu ni michuzi au?

    ReplyDelete
  7. Huchelewi kukuta Kikwete aliwaambia za saa hizi wazee badala ya kuwashushia SHIKAMOO kubwa na ya haja hao wazee.

    ReplyDelete
  8. Duh...wazee hao wa vijijini wamepigwa na kiwewe kukutana na Sultan wa Taifa yaani Kaka Msafiri...ilikuwa enzi za wakoloni wakati hao wazee ndio mwisho walisalimiana na wavaa masuti...jamani mambo yamebadilika hapo Ubongoni!!!

    ReplyDelete
  9. Mungu kama amekuandikia Yes, ni Yes tu. Huyu Waziri Mkuu amezaliwa tarehe 12 August 1948 na wazazi wake wote (Baba na Mama) bado wapo hai hadi leo. Mungu akupe nini ndugu yangu?
    Kweli Waziri wetu mkuu na Wazazi wake wamebarikiwa. Sio wala rushwa, sio watu wa dhuluma. Hata biblia inasema "Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, MUNGU wako.

    ReplyDelete
  10. huwezi jua kuwa huyo wa tatu ni mkalimani maana kwetu chala au kalambanzite...still kiswahili si sana..aahh mwati uli michuzi...ahh kwa cheleeee...

    ReplyDelete
  11. Anko Michu,
    Jamaa alipokuwa anaigiza bungeni siku ya Ijumaa jioni alisikika akisema angependa wazazi wake wawepo wakati wa kuapishwa kwake, hakuwa hata na imani kama redio ya kijiji ilikuwa na betri kuweza kutoa habari hizo. hivi, walikuja kwa usafiri gani toka mpanda?manaake huko ndio jua huzama na usafiri huko ni taabu.
    Mdau

    ReplyDelete
  12. PM lete maendeleo beach zote za lake Tanganyika uzawa ndio unamfanya zitto akufurahie. Hoteli zote za kitalii za serengeti zihamie mikoa ya Tanganyika zone

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...