Home
Unlabelled
forodhani ya leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Miezi kumi!! Mungu wangu, wanafanya nini muda wote huo? isijekua kama mambo ya Richmond
ReplyDeleteHio bustani ni ndogo halafu ichukue muda wote huo? tena ni ukarabati
asante michuzi kwa kutuwekea picha za home town zenji moyo huo huo
ReplyDeletebro michu naomba uwaambie hao viongozi wanaoshughulikia huo ukarabati wajenge fensi kubwa itakayozunguka forodhani yote hiyo ni kwa ajili ya helth and safety ya watu wa mji huo
ReplyDeletemiezi 10 mingi sana.au inatujuulisha kwamba hakuna civil engineer uko?yani ujenzi utajengwa kwa vibarua na kwa mikono!
ReplyDeletemichu mi naomba uzifikishe izi salam wangeatafuta watu madhubuti shughuli ikamalizika mapema kwanza ivo ilivo haileti picha nzuri ukizingatia znz ni mji wa watalii usokwisha!