Home
Unlabelled
forodhani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Eee michu ile kauli yako ya kusema ukifika zenjy bila kufika foro hujala bado kumbe nkweli mana naona ile pyeeeee kutinga tu, break ya kwanza jicho lilipiga foro anyway nimekusameh maana njia ni hiyo hiyo ya kwenye mahafal uloendea huko kwa washkaji, ila kwa kukukumbusha wewe mwenyewe ulituhabarisha ukarabati utafanyika kwa miezi kumi, si tunahisabu tuuu ikigota tu, tumo ndani ya boti kwenda kujionea marekebisho kama yako sawa kiwango wanachotaka wale wenzetu, ili watakapokuja kutumia wasijeharisha kwani huko wanakoishi ni peponi hata nzi hawanjui anafananaje walayi.
ReplyDeleteMradi utachukua miezi 10, michu soma na magazeti ya znz upate habari zaidi
ReplyDeleteYakhe hapo ndio 'Beit al Ajab',Watawala wa kale wa Unguja yaani Masultani ndipo yalikuwa maskani yao...nasikia siku hizi ni makao makuu ya CCM...typical,kila wanachokinyang'anya lazima kiwe chao!!!
ReplyDeleteUjenzi utachukua kiasi miezi 10. We are missing alot yakhe ! Nimezoea mara moja moja weekend kupata upepo mwannana na choma choma. Sasa inabidi tukanunue vichochoroni. Lakini bora wapatengeneze manake hapakuwa na kiwango kizuri.
ReplyDeleteNatumai mwaka huu watafanikiwa... Foro iweshafanyiwa matengenezo zaidi ya mara tatu bila mafanikio.
ReplyDeletekwanini ichukuwe muda wote huo kwa kikubwa gani kinachotaka kutengenezwa yakhee 10 month!
ReplyDelete