Jioni ya leo kwenye kipindi cha BBC mara baada ya Mwanakijiji kuhojiwa, alifuatia Msemaji wa Jeshi la Polisi ambaye alijaribu kuelezea ni kwa nini vijana wawili wanashikiliwa na Polisi kwa sababu ya kuhusika na mtandao wa Jambo Forums. Katika madai ya jeshi hilo ni kuwa mtandao huo siyo tu ni wa uchochezi bali pia unamawazo ya kigaidi au uvunjaji mwingine wa sheria.
Tafadhali ingia kwenye "Pics and Docs" kwenye "Press Releases" na kujisomea tamko hilo pamoja na makala iliyowatambulisha watu wengi kwenye Jambo Forums iliyotolewa karibu mwaka mmoja uliopita na kuwekwa hapa bila ya kufanyiwa uhariri wowote au mabadiliko.
Wakati huo huo tunaitisha michango ya wana JF katika kuwasaidia ndugu zetu. Wengine tumetoa muda wetu, watu wawili tu wamechangia fedha kidogo na wengine wanaendelea kutoa michango ya "maneno ya kizalendo" na mshikamano.
Tunahitaji michango ya kuhakikisha siyo tu JF inarudi bali inarudi ikiwa na nguvu zaidi lakini pia kusaidia juhudi za ndugu zetu nyumbani. Endapo vijana hawa watafunguliwa mashtaka tunahitaji kuwa na "Legal Defence Fund".
Michango inaweza kuingizwa kupitia tovuti hii au kwa kuwasilina na klhnews@klhnews.com This e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it .
Mwisho tunaomba kuwahakikishia kuwa Jambo Forums iko salama kabisa na kila kitu kilichokuwapo bado kipo na muda si mrefu itarudi hewani.
Ndugu yetu "Invisible" anaendelea kufanya vitu vyake bila kubughudhiwa na matukio yanayoendelea.
mwanakijiji michango inakuja tulia tu kaka. Hawa hawawezi kutufunga midomo kiasi hiki, kwani wao mungu bwana!!
ReplyDeletesiamini kama mambo kama haya yanaweza kutendeka katika zama hizi za teknolojia, ninafurahi kuwa robot anashughulikia jf kuwa hewani tena, hawawezi kuzima mawazo ya wananchi, nyakati zimebadilika the wind of change is here, justice will prevail!
ReplyDeletewhatever happened to free speech?
ReplyDeletejamani irudi haraka, jitahidini imesaidia sana watanzania na maendeleo msikate tamaa.
ReplyDeletekwamba naomba kusema kuwa Serikali inaonesha ni jinsi gani amabavyo hawana akili nadhani ni kwasababu walishazoea kufanya kazi kwa miaka mingi kutumia physical files na typewriters ivi wewe kwa akili yako unaweza kunyamazisha watu kwa kutumia internet!!!!huna akili ata kidogo kwanza sisi ndo tuna post izo data kwenye izo website na tunajisajili bila ata ya wao kujua tuko wapi na sisi ni nani na khabari zenu nyinyi mafisadi tunazo kwaio kama mnafunga iyo jambo forums then tutafungua nyingine na nyingine tena na pia tutatumia mpk emails kurusha ufisadi wenu cha kufanya ni kuacha tu ufisadi na si kutishia watu,the world has changed dunia imekuwa like a small village and you cant shut us like that ni kuonesha ushamba wenu in 21 technology na kwamba kumbe hamfai kuwa leaders....na sasa watu ndo wame take interest and this thing has just started,as long as icho chama cha sisiem kina makundi basi dataz ni za kumwaga tu mtaani na mjue siku za kula hela za wananchi na za wahisani zimeisha hao hao ambao mmezoea kuwanyima mgao ndo wanaotoa dataz....so as long as mnakula data zitatokaaaaaa...nyambafu nyie!!!!
ReplyDeletebwana hawa wanaona wanazidiwa, kila mtu anajua watu wanaotoa maskendo yao ni JAMBO FORUMS, sasa hii ni janja yao ya kutaka kuwa simamisha, sasa hivi watz hatutanyamaza, ni kanyaga tende ndio imebaki, am sure hii kesi JF itashinda na tutarudi kwa vishindo
ReplyDeleteMichu zibiti wahuni wa jamboforum hapa. Chadema imewatosa kwa kushindwa kulipia fee sasa wanatumia blogu yako kuomba hela, watu gani kila kukicha wanatukana tu wacha wafungiwe mpaka kiama. na huyu mpenda misifa Mwanakijiji usiruhusu akutumie matangazo
ReplyDeleteNasema hivi, kama mnadhani mtaweza kuwanyamazisha watz kwa ulafi wenu hiyo sahauni, hivi hamjashtuka kama wananchi wameuchoka wizi wenu???? hivi mnafikiri wana sisiemu wote wanapenda ushetani wenu????? kama you feel the heat ulipokaa amka kiache hicho kiti kakae kwenye jamvi, siku za utumwa kuonewa, kunyanyaswa na kudharauliwa zimeisha, ni bora mtumie busara na si mabavu,
ReplyDeletejamani waTZ kwa taarifa yenu tu fupi mwana jambo forums ndio wanao vumua maskendo ya hawa walafi, tuamke jama tusikubali hii unduli
MWISHO TUNATAKA HELA ZETU TOKA KWA MAFISADI YA RICHMOND, YATAIFISHWE, YAFILISIWE NA KUBURUTWA MAHAKAMANI
T U M E C H O KA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
NILIDHANI JK NI KIONGOZI NZURI, SASA NAANZA KUWA NA WALAKINI,MAANA SIAMINI KAMA HAYA YANATENDEKA LEO HII!!!!!!!!! KARNE HII!!!!!
ReplyDeleteKAMA VIDONGE NI VICHUNGU AMUA MWNYW KUMEZA AU KUTEMA, TUTAONGEA TUUU.....
JAMBO FORUMS HOYEEEE!!!!!!!!!!!
Jamani naomba hao wanaowafuatafuata JF waelewe kama wanataka tusiongee basi wzuie internet kwa ujumla maana JF ni just a link ya sisi kuwasiliana mkifuta itakuja nyingine na zipo kibao hata mimi natarajia kufungua link sasa mnaweza kuzuia technolijia? Msichekeshe jamani na acheni utoto maana dunia ya sasa mtu akitaka kusema hata kwenye miti ataweka dukuduku lake.
ReplyDeletekwa kifupi naona hii serikali ndo wamewatangazia JF soko, maana kabla ya hapo sio tz wote walikuwa wanaijua au kuvisit JF, sasa wakurudi lkila mtu atapata shauku la kuijua
ReplyDeleteTIBAIGANA MNYAMAZISHE NA ANNA KILANGO MALECELA BASI KAMA NYIE MNATUMIA BRAIN KUFIKIRI
ReplyDeleteMwanakijiji na Invisible, hizi ni athari za mafuriko tuu, huwezi kuzuia mto mkubwa kama JF kwa kuweka gogo. Maji yatapita tuu. Tupo nyuma yenu. Nakumbuka JF ndio imethubutu kuweka kila kitu hadharani na pia imekuwa ikitoa data za kweli kabisa.. Mimi nashidwa kuelewa ni kipi kati ya vilivyopo kwenye JF ni cha uongo? Kipi cha Uchochezi? Uchochezi maana yake nini? Kutoa taarifa za kweli ni uchochezi? Kwanza nina wasiwasi na jeshi la Polisi hasa hao wakubwa kama hata wanajua internet ni nini. Nina wasiwasi kama wanajua nini maana ya Forum.. Sasa sii waamke? Waende wakapige shule wajue mambo yanakwendaje. JF imefungua macho watz wengi sana waliopo ndani na nje ya nchi.. nenda kwenye kila ofisi asubuhi mtu akifungua emails zake cha pili ni JF.. Dawa sio kuwatishia Moderators dawa ni kushirikiana nao ili nao wajue ukweli kuhusu nchi hii. JK rais wetu najua anapata taarifa nyingi sana kutoka JF namuomba aamuru moderator waachiwe haraka. JF ndio mahali anapata habari za kweli ambazo hazijawa edited na watu wake wa chini. "IF YOU CANT'T FIGHT JOIN THEM"
ReplyDeleteRAIA MWEMA
ReplyDeleteMafisadi’ BoT warudisha fedha
Mwandishi Wetu Februari 20, 2008
WATUHUMIWA wa sakata la ufisadi wa mabilioni ya fedha ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) sasa wameanza kulipa sehemu ya fedha walizotuhumiwa kujichotea, imefahamika.
Lakini habari kutoka serikalini zinasema kwamba fedha hizo zinalipwa kutoka katika akaunti ambazo ni tofauti na zilizoshikiliwa, zilizokutwa na fedha kidogo.
Habari kutoka serikalini zinaeleza kwamba, serikali imepokea kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa watu mbalimbali waliohusishwa na uchotaji wa jumla ya Sh bilioni 133 za BoT kupitia Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA).
Kwa mujibu wa habari hizo, pamoja na kuendelea na uchunguzi wake, kamati maalumu ya kiserikali iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete, imekuwa na mkakati maalumu wa kuhakikisha fedha zilizoingia katika mikono isiyo halali zinarejeshwa serikalini.
Imeelezwa kwamba mkakati huo umeegemea zaidi kuokoa fedha kabla ya kuendelea na hatua nyingine za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwafungulia mashitaka wale waliofanya udanganyifu.
“Baadhi ya watuhumiwa wameanza kurejesha fedha kwa kasi ya ajabu na wengine wametoa ahadi ya kufanya hivyo haraka iwezekanavyo. Lakini wengine wamejikuta hawajachukua fedha hizo kwa kuwa majina yao yalitumika tu,” anaeleza ofisa mmoja mwandamizi wa Serikali aliye karibu na wafuatiliaji wa sakata hilo.
Habari zinaeleza kamba wakati Serikali inafuatilia akaunti za watuhumiwa katika benki mbalimbali nchini, walikuta kiasi kikubwa kimekwisha kuchukuliwa na watuhumiwa hao, sehemu kubwa ikiwa imetumika katika uwekezaji mkubwa na mdogo.
Kwa mujibu wa habari hizo, vyombo vya usalama kwa kutumia mtandao wake wa muda mrefu ndani ya BoT na mabenki vilianza kuwafuatilia wahusika mmoja baada ya mwingine na hatimaye kuwataka kuanza kurejesha fedha walizochota.
Hata hivyo, baadhi ya watuhumiwa wamebainisha wazi kwamba sehemu ya fedha hizo zilitumika katika masuala ya kisiasa na hivyo walihitaji kupatiwa unafuu katika urejeshaji wa fedha hizo, mambo ambayo yameelezwa kutotolewa majibu ya wazi.
Makampuni 22 yametajwa kutumika kuchota jumla ya Sh bilioni 133 za BoT kupitia EPA, kati ya fedha hizo zaidi ya Sh bilioni 80 zikiwa zimechukuliwa na wafanyabishara wawili wenye asili ya kiasia mmoja akiwa hajawahi kutajwa wazi na vyombo vya dola.
Anayetajwa sana ni Jayant Kumar Patel maarufu kama Jeetu Patel, ambaye kwa sasa anaelezwa kuwa nje ya nchi, huku biashara zake akizihamishia ama kuuza hisa zake.
Tuhuma za ufisadi ndani ya BoT, zimesababisha kufanyika kwa mabadiliko makubwa ndani ya chombo hicho kwa kuondolewa kwa aliyekuwa gavana, Dk. Daudi Ballali, na kuteuliwa Profesa Beno Ndullu, ambaye ameanza kufanya mageuzi ya ndani.
Hadi sasa hatima ya Dk Ballali haijulikani huku akiwa mgonjwa nchini Marekani alikokwenda kwa matibabu lakini ameelezwa kuwa na nia ya dhati ya kurejea nyumbani.
RAIA MWEMA
ReplyDeleteLowassa alichafuka zamani kabla ya Richmond
Waandishi Wetu Februari 20, 2008
Kikwete alijulishwa, akapuuza
HATA kama tuhuma za kampuni hewa ya Richmond zingemnusuru, aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, asingefika mbali, kwa vile alikwisha kujitengenezea maadui wengi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), bungeni na serikalini, Raia Mwema imefahamishwa.
Hatua ya Lowassa ya kujiuzulu kiasi cha wiki mbili zilizopita, ilikuwa inahitimisha tu mlolongo wa matukio ndani ya CCM, bungeni na serikalini na hata katika nyanja za kibiashara na kijamii, yanayokwenda nyuma katika wakati wa mchakato wa kutafuta mgombea urais ndani ya chama hicho, na baadaye katika utendaji wa kila siku akiwa Waziri Mkuu.
Yeye mwenyewe amekuwa hapatikani kueleza ni nini anafikiri kimemsibu, lakini watu wa karibu naye wameifahamisha Raia Mwema kwamba anaamini kwamba tuhuma za rushwa katika mradi wa Richmond haziwezi kuelekezwa kwake moja kwa moja kwa sababu “hakula hata senti moja” ya kampuni hiyo.
“Amekuwa anasikitika sana. Moyo wake ni mweupe kwa suala hili. Anasema hata senti moja ya Richmond haijui, lakini ameamua kukaa kimya kwa vile jinsi umma ulivyopokea suala hilo ni kama vile tayari hukumu imepita na hakuna anakoweza kusikilizwa.
“Lakini inafahamika kwamba mara mbili alijaribu kuonya kuhusu mradi huo wa Richmond, uliokuwa uzalishe umeme wa dharura. Kwanza mwishoni mwa Septemba 2006 aliandika kwa Waziri wa Nishati na Madini, akitaka Richmond ichunguzwe na Serikali ijiridhishe kama kampuni hiyo ina uwezo, na mara ya pili, ni Oktoba mwaka huo huo, alipoitisha kikao cha wakuu wa idara, kama ya Usalama na vyombo vingine, kutaka kujua hali ya mambo ilikuwaje,” anasema mmoja wa waliozungumza na Raia Mwema wiki hii.
Kwa mujibu wa watoa habari hao, huenda Lowassa akatoa mwanga kidogo wa masahibu yake mwishoni mwa wiki hii, jimboni kwake Monduli, ambako atazungumzia suala hilo na ambako inaelezwa kwamba umma uliompigia kura unamsubiri kwa kuwa unahisi mambo mabaya yanaweza kumsibu mbunge wao.
Lakini tathmini ya matukio wakati na baada ya mchakato wa urais ndani ya CCM, na hatimaye baada ya serikali ya awamu ya nne kuanza kazi, inaonyesha kwamba majeraha ya mchakato, malengo ya kisiasa, kujihusisha na biashara na staili yake ya utendaji vinaweza kuwa vimechangia sana katika kumchafua na kutengeneza maadui miongoni mwa wanasiasa wenzake, watendaji serikalini na hata wafanyabiashara.
Habari za ndani ya Serikali na CCM zinaeleza kwamba, kwa kiasi kikubwa Lowassa alijikuta amezungukwa zaidi na maadui kuliko marafiki katika utendaji kazi wa kila siku, ndani ya Bunge na hata katika Baraza la Mawaziri.
Kwa mujibu wa habari hizo, Lowassa amejikuta akiwa katika wakati mgumu, pengine kuliko alivyotarajia na hata mkubwa wake wa kazi, Rais Jakaya Kikwete, hakuwa na msaada wowote kwake, na hasa katika suala la Richmond, kwa vile aliachia mambo yaende kufuata “demokrasia” ndani ya Bunge na yeye mwenyewe alijiamini kupita kiasi na alipozinduka mambo yalikuwa yamekwisha kuharibika.
Viongozi hao wa juu wa serikali (Kikwete na Lowassa) walijulishwa mapema kuhusu wimbi kubwa la kutaka kumng’oa Lowassa kwa “gharama zozote” hata ingebidi Bunge kuongezewa muda wa hadi wiki mbili kutoa nafasi ya kikatiba ya kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.
Kuondoka kwa Lowassa kunamfanya kuwa ‘muathirika’ wa kwanza mzito wa uhasama wa kisiasa ndani ya CCM na watu walio karibu naye wamekuwa wakimtisha Rais Kikwete, kwamba “bado yeye” kwa madai kwamba amekuwa akikingwa sana na kuwa karibu na watu wa aina ya Lowassa.
Habari zinasema ya kuwa inawezekana wote wawili, Kikwete na Lowassa hawakupima kabla madhara ya hatima ya uchunguzi wa Richmond ama walitofautiana kimkakati na hiyo inaweza kuwa ndiyo imemfanya Mwenyekiti Kikwete kuzungumza na wazee wa CCM wa Dodoma na Dar es Salaam, akihofia kwamba kundoka kwa Lowassa kutakigawa chama hicho.
RAIS Jakaya Kikwete
Katika mkutano wa Dar es Salaam, Rais Kikwete alikwepa kuzungumzia undani wa kilichomsibu Lowassa, lakini akaelezea jinsi nchi “ilivyotikisika” na akapiga msemo wa baniani na upati: kudhihirisha kwamba alikuwa akiguswa na kuondoka kwa Lowassa, pamoja na kujikanganya katika hitimisho lake.
Alihitimisha akisema kwamba Lowassa atahukumiwa kwa haki na historia na kwamba hatosita kuvunja tena Baraza la Mawaziri likivurunda, akirejea yaliyotokea bungeni Dodoma, kuwa yalitokana na kuvurunda kwa mawaziri.
Tathmini ya haraka haraka ya baraza jipya la mawaziri, inadhihirisha kwamba hata kama yuko nje, bado Lowassa ataendelea kuwa na nguvu katika ngazi hiyo kwa vile baadhi ya mawaziri walioshika nyadhifa nyeti ni ambao wanamuunga mkono na pia kwamba baadhi ya waliokuwa wakimkosoa, ama moja kwa moja au nyuma ya pazia, kama Anthony Diallo, hawakufanikiwa kurudi barazani.
Waziri wa Miundombinu, Andrew Chenge, ni kati ya waliokuwa watu wa karibu na Lowassa. Mwaka jana wakati wa kutafuta kura za ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, walifanya kampeni ya pamoja na wote walipata kura nyingi.
Baada ya hapo Chenge alipanda hadi kuwa mjumbe wa Kamati Kuu, japo alishindwa kuzuia wimbi lililoibuka ndani ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za ufisadi na hasa suala la Richmond. Kama asingekuwa na nguvu nyuma yake, Chenge asingerejea katika Baraza la Mawaziri, kutokana na kuwa umma unamwona kama mhusika katika mikataba uchwara inayoitia hasara nchi, wakati ule akiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, naye ni mtu wa karibu na Lowassa. Sasa amekuwa Waziri kamili wa Wizara hiyo, ikiwa imeunganishwa na iliyokuwa Wizara ya Usalama wa Raia.
Wakati Richmond inafukuta, Masha alikuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, chini ya Dk. Ibrahim Msabaha, aliyejiuzulu kutokana na sakata hilo.
Inaelezwa kwamba uwakilishi wa Lowassa utaendelea kujionyesha pia katika sura za mawaziri kama Naibu Waziri wa Fedha, Jeremiah Sumari ambaye wana mahusiano ya kifamilia na Waziri wa Nishati, William Ngeleja, ambaye ni kati ya walio karibu naye.
Habari zaidi zinaeleza kwamba, Lowassa alijitia kitanzini kutokana na wapambe wake kuonyesha dhahiri, mapema kiasi hiki, kuwa alikuwa ndiye mtu pekee mwenye kila sababu na uwezo wa kumrithi Kikwete atakapong’atuka, akijitanua serikalini na ndani ya CCM.
Hiyo ilizua mahusiano mabaya baina yake na wanasiasa wenzake katika makundi mbalimbali ndani ya Serikali na ndani ya CCM. Inafahamika kwamba kwa muda mrefu hakuna mahusiano mazuri kati yake na Spika Samuel Sitta.
Wakati anatangaza kujiuzulu, Lowassa aliashiria kwamba hakuwa anaona sababu nyingine ya suala lake na Richmond kushikiwa bango kiasi hicho, zaidi ya nafasi ya uwaziri mkuu, lakini hakuthubutu kutaja mtu.
Majina yaliyokuwa yakitajwa kuziba nafasi yake, pamoja na mengine, kama la ambaye hatimaye alikuja kupita, Mizengo Pinda, lilikuwamo jina la Sitta na Naibu Spika wake, Anne Makinda.
Lakini pia imekuwa ikielezwa kwamba hakukuwa na uelewano mzuri kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Wote, Sitta na Membe na hata Lowassa mwenyewe, hakuna ambaye alipata kutamka wazi kutaka kuwania nafasi aliyonayo sasa Kikwete, lakini katika CCM mambo hayo huanza mapema sana miongoni mwa makundi mbalimbali.
Ofisa mmoja mwandamizi serikalini ameliambia Raia Mwema kwamba, kuendelea kuwapo kwa kundi la ‘wanamtandao’ japo katika hali ya kugawanyika, kulikuwa kunawakera watendaji wa vyombo vya usalama na wanamkakati wengine ndani na nje ya serikali, wakihofia kuwa kundi hilo mbele ya safari linaweza kuwa hatari kwa vile ni vigumu kulidhibiti.
Kwa mujibu wa ofisa huyo, Lowassa na baadhi ya wanasiasa wa karibu naye kama Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, walionekana kuwa ndio vinara wa “wanamtandao”, kundi lililoonekana kuwa na nguvu kubwa ya ushawishi serikalini na kwenye chama, na kwa ajili hiyo, ilikuwa ni “muhimu” kwa vinara hao “kushughulikiwa” ipasavyo mapema, na suala la Richmond lilikuwa linatoa fursa hiyo.
Inaelezwa hata uteuzi wa Pinda, pamoja na kupata baraka za Lowassa, ni mahsusi kuwa na mtu wa ndani ya mfumo katika nafasi za juu, akiwa nyuma ya Rais Kikwete ambaye naye alitokea jeshini katika kundi hilo hilo.
Habari za kwamba yanayomkuta Lowassa yamechochewa pia na makundi ya waliowania urais mwaka 2005 wakati wa mchakato, nazo zinashika kasi, lakini ‘mzimu’ wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kwamba aliwahi kumkataa, umeelezwa kuwa na nguvu kubwa katika hisia za Watanzania wengi na hivyo kuwa moja ya sababu kubwa za mwanasiasa huyo kutoka kaskazini kuonekana “muovu” mbele ya Watanzania wengi.
“Pamoja na utendaji wake ambao haukuruhusu majibu rahisi ya matatizo, kuwapatiliza wahusika, wengine maofisa waandamizi, kama wakuu wa mikoa, hadharani, ambao kimsingi hawakuwa wakitimiza wajibu wa nyadhifa zao, kulimfanya kuwa, pengine Waziri Mkuu asiyependwa na watendaji wavivu nchi nzima, kuliko yeyote aliyepata kushika wadhifa huo,” anaeleza mwanasiasa mmoja aliye karibu naye.
Kuonekana kama mu-imra, jambo ambalo hata Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Richmond, Dk Harrison Mwakyembe alilitaja katika ripoti yake, kulimpa maadui wengi kuliko marafiki katika ofisi za umma. Dhahiri kauli yake ya kwamba hapendi mtindo wa business as usual (kufanya kazi kwa mazoea) ilitisha na ikajenga chuki.
Lakini pengine msigano wa kwanza mkubwa kati yake na Bunge na wabunge, ambao walimpitisha kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu, ulitokana na kauli yake ya kuwatuhumu wana Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, iliyokuwa ikisikiliza malalamiko ya Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi na Mbunge wa Mkuranga (CCM) Adam Kighoma Malima.
Hiyo ilikuwa Januari mwaka jana, pale baadhi ya wajumbe wa Kamati hiyo waliposema wazi kwamba yeye kama kiongozi serikalini alikuwa akielemea upande mmoja, hasa alipokaririwa akisema kwamba mfanyabiashara Yusuf Manji, ndiye aliyetoa fedha nyingi kuhakikisha Mengi anashindwa katika kesi hiyo ambayo hatima yake, Malima alibainika kusema uongo bungeni. Malima sasa ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini.
Wabunge waliozungumza na Raia Mwema mjini Dodoma, wiki iliyopita, walisema kipindi hicho ndicho ambacho wabunge walipoteza imani na Lowassa, na kumuona kama kiongozi ambaye hawezi kupambana na rushwa kwa dhati na kwamba anaweza hata kuhusishwa nayo kirahisi kwa kujiweka karibu na watu wasio safi.
Baadaye Kamati hiyo ilisambaratika. Mbunge wa Moshi Mjini (CHADEMA), Philemon Ndesamburo, alijitoa akisema Kamati imechafuliwa na hivyo haikuwa na mamlaka ya kujadili kesi hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari baadaye, Ndesamburo alidai ya kuwa, Kamati hiyo ilikuwa ikiingiliwa kazi zake na Serikali, lakini baadaye alimtaja moja kwa moja Lowassa akiwa Waziri Mkuu, kuwa aliingilia mwenendo wa kamati hiyo.
Hata hivyo, Lowassa hakuitwa katika kamati hiyo na ilielezwa kwamba uamuzi huo ulitokana na “busara za Spika wa Bunge, Samuel Sitta” kuzuia kuitwa kwa kiongozi wa juu wa serikali.
Kauli hiyo ya “busara za Spika wa Bunge, Samuel Sitta” ndiyo aliyotumia pia mjumbe wa Kamati Teule ya Richmond, Mbunge wa Nzega (CCM), Lucas Selelii, kujibu kwa nini Kamati haikumhoji Lowassa.
Selelii alisema, “hii si mara ya kwanza kumhusisha Waziri Mkuu. Mara ya kwanza ilikuwa kwenye suala la Mheshimiwa Malima na Ndugu Mengi ambapo Waziri Mkuu (aliyejiuzulu) alidaiwa kuwatuhumu wabunge kupokea rushwa. Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ilipotaka kumuita kwenye kamati hiyo, (Spika) ulitumia busara zako na kuishauri kamati hiyo kutomwita kutokana na nafasi nyeti aliyonayo Waziri Mkuu katika uongozi wa taifa. Waziri Mkuu hakulalamika. Kwa busara zako, kamati teule haikutaka kumuita kwa kuwa ilikuwa na ushahidi uliojitosheleza…”
Baada ya kauli hiyo ya Selelii na majibu ya Lowassa, ambayo hayakubadili kitu, bungeni wiki iliyopita, Spika alitaja orodha ya wachangiaji. Walikuwamo Mbunge wa Same Mashariki (CCM), Anne Kilango. Kilango ni mke wa mwanasiasa mkongwe na mahiri, John Malecela. Wengine ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Anne Maulidah Komu, Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka na Ndesamburo.
Mchango wa Kilango ulifungua pazia na kutoa mwelekeo wa aina ya mjadala utakavyoelekea na aliunga mkono moja kwa moja maoni ya Kamati.
Kama alivyowasilisha Kilango, Komu, Sendeka, Ndesamburo na baadaye wachangiaji wengine kama vile Mbunge wa Kibakwe (CCM), George Simbachawene, wote waliunga mkono mapendekezo ya Kamati Teule na kumpongeza Lowassa kwa kujiuzulu. Mapendekezo hayo yalipitishwa baadaye na Bunge zima kwa kauli moja.
Ofisa mmoja mwandamizi wa Serikali aliliambia Raia Mwema, Dodoma, wiki iliyopita kwamba, mtiririko wa wachangaji ulimkumbusha ripoti mbadala iliyowasilishwa wakati wa kesi ya Malima na Mengi na waliowasilisha walikuwa ni Kilango na Sendeka.
“Unakumbuka Sendeka na Kilango ndio ambao walisimama kidete katika suala la Malima na Mengi na wakaandika ripoti mbadala wakati wenzao walionyesha wazi kupindisha ukweli. Hiyo iliwajengea heshima kubwa lakini pia ilimjengea Lowassa picha mbaya bungeni,” anasema mbunge mmoja.
Alipojitoa katika kamati hiyo, Ndesamburo alidai kwamba wajumbe wenzake wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, walidaiwa kuhongwa na Manji ili wasitende haki. Alisema alitaarifiwa habari hizo na Mengi, aliyedai aliambiwa na Waziri Mkuu, Edward Lowassa, katika mazungumzo binafsi.
Baada ya mvutano wa muda mrefu, kamati hiyo iliwasilisha taarifa yake kwa Spika Sitta, ambaye aliandaa taarifa nzito ikiwa na uamuzi ulioonyesha kwamba Malima alisema uongo, lakini alitumia busara kutaka kuwakutanisha na Mengi kwa lengo la kuepusha migongano katika jamii.
Hata hivyo, sakata la Richmond ambalo ndilo limemng’oa Lowassa, linaelezwa kuwagusa wananchi wengi kutokana na usiri na vitisho kutoka serikalini na hata ndani ya CCM kuzuia watu kujadili ama kuhoji undani wa mradi huo wa umeme wa dharura.
Lowassa anatajwa sana katika kuzuia mijadala hiyo ndani na nje ya serikali, ikiwamo katika vikao vya chama na wiki iliyopita ni wabunge wa CCM waliopewa rungu na Kamati Kuu ya chama chao kutekeleza kile kilichoelekea kuwa mwiba wa kisiasa kwa Lowassa na watu walio karibu naye.
WE DARE TO TALK OPENLY.....
ReplyDeletemaisha yanakuwa magumu kwa sbb yao halafu wanataka tukae kimya
ReplyDeleteGet up, stand up
ReplyDeleteGet up, stand up: stand up for your rights!
Get up, stand up: stand up for your rights!
Get up, stand up: stand up for your rights!
Get up, stand up: don't give up the fight!
Preacherman, don't tell me,
Heaven is under the earth.
I know you don't know
What life is really worth.
It's not all that glitters is gold;
'Alf the story has never been told:
So now you see the light, eh!
Stand up for your rights. Come on!
Get up, stand up: stand up for your rights!
Get up, stand up: don't give up the fight!
Get up, stand up: stand up for your rights!
Get up, stand up: don't give up the fight!
Most people think,
Great God will come from the skies,
Take away everything
And make everybody feel high.
But if you know what life is worth,
You will look for yours on earth:
And now you see the light,
You stand up for your rights. Jah!
Get up, stand up! (Jah, Jah!)
Stand up for your rights! (Oh-hoo!)
Get up, stand up! (Get up, stand up!)
Don't give up the fight! (Life is your right!)
Get up, stand up! (So we can't give up the fight!)
Stand up for your rights! (Lord, Lord!)
Get up, stand up! (Keep on struggling on!)
Don't give up the fight! (Yeah!)
We sick an' tired of-a your ism-skism game -
Dyin' 'n' goin' to heaven in-a Jesus' name, Lord.
We know when we understand:
Almighty God is a living man.
You can fool some people sometimes,
But you can't fool all the people all the time.
So now we see the light (What you gonna do?),
We gonna stand up for our rights! (Yeah, yeah, yeah!)
So you better:
Get up, stand up! (In the morning! Git it up!)
Stand up for your rights! (Stand up for our rights!)
Get up, stand up!
Don't give up the fight! (Don't give it up, don't give it up!)
Get up, stand up! (Get up, stand up!)
Stand up for your rights! (Get up, stand up!)
Get up, stand up! ( ... )
Don't give up the fight! (Get up, stand up!)
Get up, stand up! ( ... )
Stand up for your rights!
Get up, stand up!
Don't give up the fight! /fadeout/
DUH, NAONA CHADEMA YOTE IMEHAMIA HAPA KWA MICHUZI.
ReplyDeleteLAKINI HAWA JAMAA WA JAMBO FORUMS NADHANI PIA WATAKUWA WAMEPATA JAMBO LA KUJIFUNZA, WAMEKUWA WAKIKANDIA HAKA KA-BLOGU KETU KAJAMII, LAKIN SASA LEO NDIO WANAKATUMIA WALAU KUFAHAMISHANA NINI CHA KUFANYA.
UDUMU MICHUZI!!!!!
Hawa polisi na hii serikali mie siwaelewi..ama hawakuenda shule ama wamefanya hii move kwa jazba bila kufikiri.HOW CAN YOU STOP IDEAS FROM PROPAGATING kwenye internet?Yaani ni bonge la highway na wanapoteza m'da wao.Je watu wakifufuka kwenye tovuti zengine je watazifunga?...Hawa ni malimbukeni tu na wanataka kurudisha nchi yetu nyuma!
ReplyDeleteP.S. kuna tovuti inaundwa kwa sasa inaitwa Eastafricayote.com, acha tujumuike huko na tuone kama wataifunga.Mbona hawajaifunga ya Mwanakijiji ama kwa vile yuko nje ya nchi?Washindwe!
Michuzi sasa utafanyeje??? si unaona members wako kumbe ni wanaJF pia, sasa Mwema, Tiba na wenzake watakuja tena kuifungia hii na kuwakamata???
ReplyDeleteJamaa nadhani wanafukuza upepo, and they did not think right in the first place before hawajawakamata hao vijana wawili.
Ngoja tuone yataishia wapi, yangu macho....but nadhani ni dhahiri ushindi mwingine wa wananchi unakuja
HAPO ZAMANI ZA 2007 MWISHONI KUNA MTU ALIPOST KWENYE BLOGU HII YA MICHUZI NA BONGO CELEBRITY WASIFU MREFU WA MWANAKIJIJI, NA ALIWATAHADHARISHA WATU KUWA HUYU NI MTU WA INTELIGENSIA, ALIKOSOMEA, ANACHOKIFANYA SASA HIVI. WATU WAKAMPOPOA MAWE HUYO MTU NA KUMFUKUZA KAMA MBWA! I MEAN KWA COMMENTS. LAKINI KABLA YA MIEZI SITA KUPITA WAKATI MWANAKIJIJI KESHAANZISHA KIJIWE KINGINE khl news JF IMEFUNGWA NA WATU WAMEKAMATWA. NANI ANA MJUA NANI NI NANI KATIKA JF KAMA SIO WAO KWA WAO?
ReplyDeleteMICHUZI HAO WATU WAMEKULANA WAO KWA WAO SASA USITULETEE MAREFUGEES HUKU WAKAANZA KUTULA NA SISI PLEASE TUNATAKA KUENDELEZA LIBENEKE LETU BILA TABU. MWENYE SHIDA NA MWANAKIJIJI AENDE HUKO klh news AKATOE MANENO YAKE HUKO WAJE NAYE YEYE WAMSOMBE. NA WATASOMBWA WENGI. HATA UHURU WA HABARI UNA MIPAKA LAKINI MWEZI HUU JF WALIVUKA MIPAKA, WAKIAMINI MWANAKIJIJI NA CHADEMA WATAWASAIDIA. NA NDIPO UKWELI UTAKAPOJULIKANA WATASOTA WENGINE MWANAKIJIJI ATAENDELEA KUVUA SAMAKI WAKE KAMA KAZI!
michuzi usinibanie comment yangu kwa faida ya wadau wa blogu hii.
Haya yote yamesababishwa na mafisadi waliosaini mikataba ambayo haina maslahi kwa Watanzania. Michuzi tafadhali usiiweke habari hii kapuni.
ReplyDeleteTanzania`s 240bn/- energy nightmare
POWER
-Out of TANESCO’s 30bn/- monthly revenue,
-20bn/- needed to pay private power suppliers
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE government and cash-strapped state power utility TANESCO are being forced to pay over 240bn/- annually to various private power producers, including the dubious Richmond/Dowans company, regardless of whether or not they actually deliver electricity to the national power grid, THISDAY can reveal today.
According to latest figures from TANESCO (Tanzania Electric Supply Company Limited), the monthly capacity charges of around 20bn/- are paid to about seven different independent power producers, amounting to an estimated 240bn/- per year.
And thanks to the controversial power purchase agreements signed with these companies, even if the country’s hydropower stations are at full capacity and the public utility no longer needs to buy power from independent sources, TANESCO will still have to pay billions of shillings to the private firms on a monthly basis.
TANESCO’s monthly revenue collection is currently estimated at around 30bn/- only, of which no less than two-thirds is required to pay off this colossal bill.
President Jakaya Kikwete’s administration, which inherited most of these crippling PPAs from the previous government, has pledged to carry out an urgent review of all contracts in the energy sector.
In gas or electricity markets, a capacity charge is usually a fixed price based on reserved capacity or measured demand, which must be paid by the client (in this case, TANESCO and the government) regardless of actual energy delivered by the supplier.
Meaning that even without having to produce a single kilowatt of electricity, one of the independent power producers - Songas - is still supposed to be paid more than 6.8bn/- per month by TANESCO and the government as capacity charges (minus 20 per cent value added tax - VAT).
At its gas-powered power station at Ubungo in Dar es Salaam, Songas has six turbines that can generate up to 190 megawatts (MW) of electricity. The company sells its electricity to TANESCO at an overall cost, including gas processing, transportation and generation, of approximately 5.5 US cents per kWH.
Although Songas claims on its website to have ’’one of the cheapest all-in generation costs in East Africa,’’ the Tanzanian government is still forced to pay billions of shillings to the privately-owned plant, regardless of whether it produces electricity or not.
Similarly, under the now-infamous Richmond Development Company/Dowans Holdings SA contract, the government/TANESCO coughs up no less than $3,644,782 (approx. 4.5bn/-) each month - or 152m/- per day - in capacity charges (minus VAT).
Again, on the basis of another dubious contract with Independent Power Tanzania Limited (IPTL), TANESCO/government pays another 3.67bn/- to this Malaysian-based company each month without VAT - whether it produces any electricity or not.
Total capacity charges over the 20-year lifespan of the hugely controversial contract between TANESCO and IPTL are expected to reach a total of $672m (approx. 800bn/-), excluding energy charges and other costs.
A couple of other private power companies, Aggreko and Alstom, also receive sums of up to $1.485m (approx. 1.8bn/-) and $1.752m (approx. 2bn/-) monthly for capacity charges (minus VAT) from the government/TANESCO.
Latest figures on the costs of electricity from other independent producers currently in contract with TANESCO, such as Wartsila, ZESCO and Kiwira, were not immediately available.
Apart from the hefty capacity charges, TANESCO is also obliged to pay more billions of shillings each time it purchases electricity from the independent power producers to shore up production shortfalls at its own power stations amidst rising energy demands.
As part of the recommendations of the Richmond parliamentary probe report endorsed by Bunge last week, the government has been urged to undertake an urgent review of all such contracts in the energy sector.
Members of parliament have stressed that TANESCO may run bankrupt unless this is done speedily, starting with the recommended termination of the Richmond/Dowans contract now exposed as being full of holes.
During last week’s parliamentary debate on the Richmond report findings which led to the resignations of former Prime Minister Edward Lowassa and two senior cabinet ministers - Nazir Karamagi and Dr Ibrahim Msabaha - MPs asserted that TANESCO was financially in the ’’Intensive Care Unit (ICU)’’ because of the dubious energy contracts pushed in the past.
According to TANESCO Managing Director Dr Idris Rashidi, by 2006 alone the public utility’s accumulated losses had reached a whopping 677bn/-, and in the first nine months of last year the public utility incurred an average loss of a further 6.44bn/- per month.
He said the company is indeed in a deep financial crisis. Subsequently, effective from January 1 this year, the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) approved a 21.7 per cent power tariff increase - a scaled-down version of the 40 per cent tariff hike initially requested by TANESCO.
It is now understood that TANESCO is seeking yet another power tariff hike to be able to run its operations profitably and without the need for a routine financial bail-out from the government.
Dr Rashidi told THISDAY recently that even with the approved 21.7 per cent tariff hike, TANESCO is still likely to face a whopping 50bn/- budget deficit.
Kila kona kila mtu anauulizia JF ni kitu gani, kusin kaskazini wanauliza Jf ..ni kitugani..Weusi ..weupe..chotara...wekundu wote wimbo ni uleule..Jf ni kitu ganiii...kila mtu kila mtaa wanaimba wibo huu Jf ni nini?
ReplyDeleteJf ..Jf..amakweli wakati wa kupanuka na kufahamika....kwa Jf ndio..Huu....!!
Sio swenden...sio Uk,,sio Canada..sio Denmark..sio kenya..sio...uganda...kilamtu kila nchi wanauliza ..JF..ni kitu gani...!!!!..wibo umekolea....unaimbaika kila kona...tuulize...ndio kuiiua jf Huku????
Hao walichotaka sasa ndio watakakipata sasa maana wanataka kuleta ujinga wizi unafanyika dar wezi wanashindwa kuwakamata sasa hivi wesbsite inaongea ukweli wanajifanya wajanja sana sasa wanachokitaka ndio watakipata tuone maana sasa jambo forum ikirudi mtamboni ndio tutaanza sasa maana wametaka wenyewe sasa sisi ndio tunataka waje huku ughaibuni wapite kila nchi kuja kutukamata maana wamekosa vitu vya kufanya mtu akisema ukweli inaonekana kama anasema uwongo si ujinga huo subiri sasa mtambo urudi hewani tyuanzishe vitu vyetu maana mnaleta ujinga wezi rushwa zinafanyika hamfatilii ila website inaongea ukweli mnajifanya kuwakamata wamili na sisi hatutochoka tutazidi kuwasapoti kwa sana yaani kama mnaweza tufateni tunawakaribisha huku karibuni sana mje mtukamate.maana sasa hivi hamna kazi za kufanywa mmekali rushwa tu basi hamna kitu kingine.
ReplyDeleteKatika kipindi hiki cha ufisadi Mkubwa usishangae Polisi wakatajirika maana wanaweza kusomba kila mtu kwa kutumia pesa za Mafisadi.
ReplyDeleteItafikia wakati mafisadi watawaambia watanzania hakuna kuwa na simu, computer ya Internet nk hili tusipate habari ili waendelee kusaini mikataba ya kuuza watu nje ya nchi.
Nitasema kama yule mbunge aliyesema Tanzania ya wakati huo naomba isinikute.Na pia ile sentensi ya Mtikila saa ya ukombozi ni sasa
Mimi naona wamechelewa kuwachunguza nilikuwa najiuliza kila siku hii tabia ya kufungua midomo bila mapango na kama vile hakuna dola nilikuwa nashngaa sana
ReplyDeleteNapongeza polisi kwa kuwahoji hawa vijana wanaotumiwa na CHADEMA kutukana viongozi matusi ya nguoni kwa visingizio vya ufisadi.
ReplyDeleteJambo forum sio forum pekee ya watanzania, iko nyingine maarufu ya TANZANET ambayo wachangiaji wake wanatumia majina yao halisi na sio majina ya vivuli yanayotumiwa jambo forum. Kama kweli JF ipo kwa manufaa ya nchi mbona wachangiaji huficha majina yao? Utasemaje uko huru kuongea unachotaka pasipo kutoa jina lako halisi? Unaogopa nini? unauogopa ukweli unaotoka kinywani mwako ama uongo unaotoka utashini kwako?
CHADEMA wamekuwa wakwanza kushutumu tendo la polisi kuhoji. CUF, TLP, NCCR, na wapinzani wengine wako wapi? Je isingekuwa busara kwa wapinzani kutoa michango ambayo imekuwa ikitangazwa hapa. Tuelezwe CHADEMA imechangia kiasi gani kwanza, kabla hatujakamuana mchana kweupe ati sababu JF irudi.
Wanajifanya wajuaji na wanaweza kupenya kila mahala, mara ooh sijui nani kaenda safari wapi, mara sijui wapi kuna nini, tuna data zote, tunajua kila kitu. YOOTE KUMBE BLAH BLAH BLAH TU! HAWANA LOLOTE KAMA WAO JF WANAJUA KILA SIRI YA NCHI HII ILIKUWAJE BASI WASIJUE MIPANGO YA KUKAMATWA KWAO? SI WANGEJUA MAPEMA KUWA LEO FULANI NA FULANI WATAKAMATWA NA JESHI LA POLISI KWA KUWA WAO NI TOP WA SIRI ZA NCHI HII!
ReplyDeleteHili bado linanishangaza WAJANJA kudakwa, kumbe hakuna lolote kazi kusubiri udaku na kuutundika kwenye forum yao, mara ooh Mbowe sijui kanunua gari ya..... huko UK mara sijui nini waaaaaaaaapi. Si kazi huyo huyo Mbowe ndio kawazima pumzi maana wamewafanyia udaku watu wa CCM wee mpaka JK mwenyewe hawajaakwa hata siku moja. Siku udaku wa gari ya Bosi wa Chadema tu blogu down. Kisha wanamtafuta mchawi WaTZ kwa usaniii sina hamu nao!! Haya mfanye mwende mtotolee fujo humu kwenye hii blogu hatuna haja na udaku usio na kichwa wala miguu kama ni magazeti hayo mnayotundika ni upuuzi kama mtu ameweza kuingia humu kwenye blogu basi na link ya magazeti anaijua, tutoleeni ushamba wenu hatujazoea kusoma magazeti humu tunataka comment zetu tuondoe stress sio za kutuongezea stress, nendeni tena huko klh mkauzwe na nyie mnakimbilia huku kufanya nini? Kama sio woga huo? Nyie kama wanaume wa shoka, na wanaume wa kazi tuone majina yenu halisi!
Wewe anony wa 12.44am unataka kuifananisha Tanzanet na JF wapi na wapi bwana! Tofauti ya JF na Tanzanet ni kama usiku na mchana. Tanzanet wangekuwa wana mafanikio waliyoyapata JF basi wangejipiga kifua sana, lakini hebu ona haya kufananisha JF na Tanzanet.
ReplyDeleteTungekuwa na uhuru wa kweli Tanzania wa kusema bila woga hakuna ambaye angeogopa kuandika jina lake la kweli kule JF, lakini kunguru mwoga hukimbiza bawa lake! Na kweli waliyodhania wengi walioogopa kuandika majina yao sasa yametokea. Imagine kama wangekuwa wametumia majina yao ya kweli si tayari wangeshakuwa wameharibu maisha yao na familia zao? Fikiri kabla hujaandika.
Mafisadi wa Richmond bado wako huru, Mafisadi waliosani mikataba ya madini isiyokuwa na maslahi kwa Tanzania bado wako huru, waliohusika na ununuzi wa Rada, ndege ya rais, magari na helikopta za jeshi, waliojipatia Kiwira Coal Mining katika mazingira ya kutatanisha wote hawa wako huru! lakini vijana wanaoendesha mtandao unaofichua uozo mkubwa ndani ya serikali wao ndio wa kukamatwa!!!! UUUUUUUUUWIIIIIIIIIII!!! Hasira zinanipanda kupita kiasi.
Tanzanet ni mgonjwa mahututi na Tanzania haijulikani kabisa kamwe usiilinganishe na JF.
We anony hapo juu unathibitisha usemi kwamba common sense is not that common... kama kuna freedom of speech sasa mbona wameshikiliwa na polisi na forum imekua shut down, pili unafikiri news zitapatikana kiraisi kama wanaozidaka wanajulikana, unafikra za kizamani kama spika sitta wewe...badala ya kupongeza mafanikio yaliojitokeza unaleta siasa zako za ki-communist hapa...
ReplyDeleteKwanaza wat is ur bloody point anyway...mbona wewe haujaweka jina lako kamili kwenye point yako...
CHEKI UBABE HUU:
ReplyDeletePolice chief links use of internet to crime wave
2008-02-21 10:18:22
By Correspondent Austin Beyadi
Inspector General of Police Said Mwema has cautioned people against downloading and using materials from the internet, saying that technological advancement has led to increasing cyber-related crime in the country.
Addressing a news conference yesterday in Dar es Salaam, Mwema said that developments in information and communication technology had made it easier for international criminals to fulfill their ill missions through the cyber world.
He said common cyber-related crimes included pornography and nude pictures, threats, terrorism, false allegations, conning and dissemination of wrong information.
Mwema warned that people needed to be extra careful because some websites were disseminating political, economic and social information that was wrong, or exposing other people`s confidential information and pictures on the internet contrary to the law.
He said that recently two people were interrogated by the police in the country concerning some information which was disseminated through the internet on a popular website known as `Jambo Forums.`
According to the IGP, people had found the internet the easiest way to accomplish their ill missions, thereby affecting, sometimes negatively, other peoples` lives or wrecking havoc on a nation.
He promised that his force would strengthen its capability to deal with cyber crimes, warning that people misusing the internet would face the law.
Mwema said national laws guiding internet application should be adhered to by individuals as well as institutions in the process of downloading, posting and dissemination of cyber materials.
He said nowadays even children were using the internet and sometimes without parental guidance, cautioning that if left unchecked, pornographic and other obscene materials would spoil the children and in long run the entire nation would be in jeopardy.
SOURCE: Guardian
Nimaipongeza serikali kwa kuchukua uamuzi sahihi wa kusitisha na kuichunguza JF. Pamoja na kwamba imechelewa sana kuchukua hatua kama hizi lakini naishukuru kwa kuweza kutambua uhuru na kulinda hadhi na heshima za watanzania.
ReplyDeleteKigezo wanachokitumia cha uhuru wa kuongea kwa wao JF ni kinyume kabisa, kwani wamekwishaathiri watu wengi na familia zao kwa kuacha watu kuwatukana hadharani wakati wakielewa kuwa hata watoto wa hao wanaotukanwa huweza kuingia na kusoma matusi hayo katika JF. Ni udhalilishaji wa hali juu kabisa na ni uvunjaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu. Hawana budi kuwaomba radhi wale wote ambao hawakuwatendea haki kwa njia moja ama nyingine, na vile vile hatua kali zaidi za kisheria zichukuliwe dhidi yao.
NAKUUNGA MKONO 100% ANONY WA FEB22 12.19PM. NDIO WACHUKULIWE HATUA KALI ZA KISHERIA KWANI WANAJIONA WAO NI MIUNGU WATU NA INVISIBLE. TENA WAKAWACHOMOE NA HAO WALIOKO HUKO UGHAIBUNI WAWARUDISHE HUKU KUJIBU MASHTAKA.
ReplyDeleteUnajua mambo mengine yanahitaji common sense kabla hujaongea au kuandika neno lifikirie kama ungelikuwa wewe ungejisikiaje? Hii kutaka madaraka ya nchi kwa njia ya aina yoyote pia itawafikisha mahala pabaya unaweza funguliwa mashtaka ya uhaini au hata ugaidi kwa kijisentesi kidogo. Kuna kasichana kalikuwa kanablogu masikini kakadakwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi hapo UK.
Ila kilichonishangaza, hawa wajuaji wetu wa JF hawakusoma? Kama wangekuwa wamesoma na wajanja wangejua kuwa iwapo rais wa US anatembelea TZ basi Inteligensia yote ya US kuanzia CIA, FBI na whatever source they have ilikuwa hapo TZ kwa muda mrefu na wanasoma kila kiingiacho na kutokacho, wanasikiliza communications zoote, na wanajua hii inatoka wapi mpaka ndani ya nyumba yako! Sasa hata wakitapa tapa sasa hivi wenzao pengine wamekwisha handover data zote kwa their counterparts long time ago. Inabaki kuwashughulikia tu kwa baraka zote walizopewa.
Be careful Segerea hakupendezi hata kidogo bora uishie Segerea kuliko Guantanamo bay!
Wewe anony wa 12.19pm hivi kumwita yeyote aliyehusika kwa namna moja au nyingine na kashfa ya EPA, BoT, Netgroup kaburus, mikataba feki ya madini, rushwa katika ununuzi wa ndege n.k. fisadi ni tusi? Wewe unajua matusi lakini au unataka misifa tu kubwabwaja bila mpango?
ReplyDeleteWatu kama nyie ndio mnaifanya Tanzania iendelee kuangamizwa kila kukicha. Wazungu wanakuja Tanzania wanachukua rasilimali zetu zote wao na wakubwa wachache wananeemeka kwa rasilimali hizo na kuwa mabilionea, Watanzania walio wengi wanaendelea kuishi maisha ya dhiki kubwa, halafu mtu akiitwa fisadi mnakuja juu oh! viongozi tumetukanwa!
Mawaziri wote waliokuwa wanapigiwa kelele JF tangu mwaka jana kwa kuhusika na ufisadi au utendaji mbovu with exception of Chenge wameondolewa. Hili linaonyesha jinsi JF inavyojua kuchanganua mambo mbali mbali kuhusiana na nchi yetu.
JF haitakufa kamwe itarudi hewani kama kazi. Wanaweza kupambana na JF kwa kuhakikisha utendaji mzuri utakaoleta maisha mazuri kwa Watanzania wote na mafisadi wote wanafilisiwa na kufunguliwa mashtaka, hapo JF itakuwa imekosa cha kujadili lakini itakuwa imechangia sana katika kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania, bila hivyo mafisadi wataendelea kuumbuliwa tu kila kukicha. Idumu JF!
We anony 12:19, hatimaye sio makosa yako...utakuwa ni mchanga sana kwenye matumizi ya mtandao, hivi umesha tembelea blog za siasa za marekani na uingereza ukaona jinsi wakuu wa nchi wanavyo ongelewa na wachangia hoja. Kama ninavyo sema itakuwa ni lack of exposure ndio inakuponza fikra zako, hadi sasa ungekua unalipa umeme wa bei ghali bila kujua ni nani yupo accountable, we ungebaki kutoa minjino yako ukisema "aisee Lowassa kiboko!!" the problem is you dont understand how this people work. Na sijui heshima gani hiyo unaongelea wakati ma-scandal yanaibuliwa 247,,,,au kulinda heshima ya Tanzania nikudhibiti watu kuongelea vibweka vya hawa viongozi wetu....wake up and smell the coffe!!!!
ReplyDeleteWE WILL BE BACK & WE'LL HIT BACK HARDER!!
ReplyDeleteIt is time for our leaders to embrace technology instead of issuing endless unrealizable rhetorics on political fronts regarding the use of ICT as a formidable way to reform our country for better.
The recent actions by some officials to detain JF strategists proves nothing but malefic contradictions to their very political statements. The two JF members should be embraced by state organs, they have lived to prove that Tanzania Youngsters are in forefront of the battle to develop our country.
And here is a quote for you to lead posted at KLHNews.com :
Our police state: Police now a political
Written by Pundit, on 22-02-2008 08:47
Like any true Tanzanian patriot,without the slightest aim to undermine the importance of all aspects of law and order, the cyberspace aspect being no exception, I wish to register my disgust and dissapointment with the obvious, deliberate and totalitarian muffling of our recently acquired freedom of speech.The ignominious and cooked up charges against two members of JamboForums.com cannot go without the strongest condemnation from all peace and freedom loving Tanzanians.The charges exhibit some "US Patriot Act inspired" fearmongering at a time when some of us were just beginning to restore our faith in the uniqueness of Tanzania's relative freedom of speech. The fearmongering currently prevalent was made clear by our Inspector General of Police as documented by IPPMedia ( Police chief links use of internet to crime wave http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2008/02/21/108832.html.)
It has been said that African governments not only engage in gross mismanagement and abuses, but also our rulers even go the extra mile by doing bad things badly.In this unfortunate instance the government is unleashing a non objective state arm to sustain a police state, terrorizing patriotic dissent and meaningful discussion by using cheap and false pretenses.To achieve the feat of silencing a formidable agent of change that is Jambo Forums, if at all possible, will take much more than ""state terrorism" disguised as the "state fighting terrorism".
The outrage is not only that these clouded half truths, manipulations and fabrications of terrorism and cybercrime propagated by the IGP at this most opportune moment are not only forcefully and manipulatively silencing the voice of reason and meaningful debate, but also squandering taxpayers resources and at the whims of our mis-leaders.The IPPMedia article, probably unintentionaly, potrays an IGP that generalizes and lumps together some ramshackle press release in the tradition of an inefficient police with no specific leads, but who still wants to appear on top of his game in an effort to appease his masters and manipulate the public.
Let's face it, neither the Tanzanian government nor the law enforcement agencies are prepared to deal with the rigors of an online campaign.To careful observers, the government by using its law enforcement agencies to infringe upon Tanzanians constitutional right of association and expression, is not only making a laughingstock of itself, but also validating JamboForum's importance and resolute stance. Instead of trying to contain the jinnthat is already out of the bottle, the powers that be should take a leaf out of Gorbachev's book and do away with tyrannical, unspecified, unjustified and shameful Gestapo like charges.
For argument's sake, even if the cybercrime charges were valid,the Tanzanian people, most without internet access, do not see cybercrime as a top priority.The law enforcement bodies should concentrate on fighting grand corruption, beginning with processing procedures to prosecute the mis-leaders who took Kiwira Coal Mine illegally, all who are responsible in the Richmond saga some in peaceful taxpayers funded retirement, not to mention a total review of all major contracts from the container terminal (TICTS) and IPTL.
There is a prudent way of owning up past mistakes and starting restoring Tanzanins confidence afresh, unfortunately the government and its agents did not choose to pursue it.
The government had better seize the moment to come clean while there is still some semblance of confidence in it, before even the proverbial "kipofu" sees the hand that takes a bigger chunk from the plate."
SteveD.
ISHU YA JF SIO UFISADI WALA NINI WALA MSITAKE HAPA KUJIFICHA NYUMA YA MWAMVULI WA UFISADI. UNAWEZA UKAWEKA MAMBO YAKO WAZI BILA KUTUKANA MTU. LAKINI NYIE MHU MLIZIDI MATUSI WAJAMENI, SASA HIVI TUNAWAELEWA MKO KWENYE DENIAL, HAISADII, KAMA KUTUKANA MMESHATUKANA SASA HATA MKIWA KWENYE DENIAL KAZI BURE. SIKU NYINGINE MUJIFUNZE KUONGEA BILA JAZBA NA MATUSI. MATUSI HATA HUMU YALITAKAGA KUANZA KIPINDI FULANI LAKINI TUNAYAKEMEA NA MKILETA MATUSI YENU HUMU KAMA MICHUZI ATAYAPOSTI TUTAWAKEMEA VILE VILE. MSIJIFANHYE NYIE KWA KUWA NI WANACHAMA WA CHADEMA BASI YOU ARE ABOVE THE LAW! NA MNAWEZA KUTUKANA MTAKAVYO! NA HUKU MUWACHE MCHEZO WENU WA KUTUPOSTIA HAYO MAGAZETI KWANZA INAONYESHA JINSI GANI HAMNA KAZI , SASA UKATAFUTE LINK YA GAZETI UKOPI NA KUPASTE NDIO UWEKE MTUNGO!AARGH LABDA MNAJIWEKEA NYIE NA WANACHAMA WENU SIE WENGINE TUNAONA MIYEYUSHO TU. MMELIKOROGA MTALINYWA. ETI SI MLISEMA MNATAKA KUANZISHA CHAMA CHENU KINGINE NILISIKIA ETI CHADEMA NAYO I KUNDINI MWA MAFISADI NDIO MAANA HAMUITAKI LABDA WAMEWAZIMIA HAO HAO WAFADHILI WENU.
ReplyDeleteama kweli mfa maji!!
Tik tik tik, tik tak tik tak......
ReplyDeletetulisema tutarudi, na sasa tumerudi.....
Na mawe tutarusha... Mwanakiji, lazima tuandae sherehe ya kijiji kule kijijini - ""Mawe mapya na makubwa""
Nimesoma katika moja ya magazeti ya Tanzania kwamba Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu Ms. Kijo-Bisimba akilaani kukamatwa kwa watu wawili wa JF na kusema ni kinyume na uhuru wa kujielezana blah blah nyingine.
ReplyDeleteKusema kweli nitasikitika sana kama huyu mama mwanasheria kama hajawahi kuilaani JF huko nyuma kwa kuwatukana hadharani. Ningependa huyu mama anifahamishe kwa uchache kabisa kupitia mfano mmoja tu, Je, ilikuwa ni haki au uhuru wao JF wa kumtukana Suzan Mungy? Ni uhuru gani ambao unamdhalilisha mtu mmoja na uhuru huo huo inakuwa ni haki ya mwingine?
Watu kadhaa wametukanwa na kudhalilishwa, je hiyo tume au huyo Mama Bisimba alishatoa tamko lolote?
Kama hajafanya hivyo basi nina wasiwasi kabisa utendaji wake na tume nzima.