mustafa hassanali anaanza mwaka na mambo mapya. hii ni kadi yangu ya yeye kunialika kwenye shoo yake hapo februari 9, 2008 hoteli ya moevenpik. mengine zaidi mtembelee kwa kubofya hapa
Home
Unlabelled
kadi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
wahindi hawaachi asili yao!!! nadhani pia kwenye pesa zao kuna nembo ya pilipili! kwa jinsi wanavyoipenda.
ReplyDeleteKweli wadosi tunazipenda hizo pilipili na haswa hizi za kimanga,hilo pilipili ukilipenya pahali ambapo jua halin'gai nakuambia magonjwa yote yatakukimbia na wala mganga hutamtembelea!
ReplyDeleteANATAFUTA PUBLICITY YA BURE!
ReplyDeleteISSA HUYU JAMAA NIMEMUELEWA ANATUAMBIA KWAMBA.."PILIPILI ALE MWINGINE WEWE KINACHUKUWASHA NINI?"..ANAPENDA MAFUMBO HUYU..
ReplyDelete