wan-dei wan-dei nami pia huwa najikoki na kujichanganya matawi ya juu. kwani utajua suti ni ya kuazima...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. hapo wapi jamani mbona huyo mkaka hapo kulia ni kama namjua vile sio G. Kivaria??????????
    kama nimekosea kunradhi

    ReplyDelete
  2. eh kak ayetu semina elekezi nini tena manake haziishi hizo....hatukawii kukuona uko arusha...

    ReplyDelete
  3. Bro Michu, huyo jamaa wa katikati ni Daktari wangu... KZ wassup?

    Nordstrom Rack

    ReplyDelete
  4. Shehe Muhidini...jiepuke na mtindi na maji hayo ya mizabibu...yatakudhuru siku ya kiama!!!

    ReplyDelete
  5. Ahaaaa, kumbe nawe fisadi eeeeeehhh!!

    ReplyDelete
  6. Sawasawa Mwanawani,Michu naona umeamua kujibu mashambulizi.basi nakupa shavu mkuu!!naona Maji ya Kunywa,Mivinyo Mezani, kikao cha heshima hicho.

    ReplyDelete
  7. Namuona kujana prosper hapo...tunakusubiri Benton Harbour na Chicago unarudi lini kijana huku au bongo mambo safi!

    ReplyDelete
  8. Haswa! Huyu hapa kulia ndio George Kivaria (kwa wale wa karibu yake sana pia anajulikana kama aka "Papa G"! Kweli matawi ya juu kaka michuzi! mlikuwa wapi hapa? Huyo kushoto sio Ndaga Mwakyusa na mumewe Prosper Magambo? Lini mnarudi Chi Town nyie? Naona kuna Courvsier moja, na Jack Daniels moja! Duh! Jamani hawa washkaji! sio mafisadi hawa.

    ReplyDelete
  9. Naona kijana Prosper Magambo mambo yako ni tambarare kwa saaana tu. Muhimu naona umejenga heshima ya kuwa na mwenzi-wako kwa pembeni, Mrs. N. M. Magambo, hii nakufagilia mtu wangu...!

    Mdau Japan

    ReplyDelete
  10. Prosper naona unajichana hapo. Philly lini tena?

    ReplyDelete
  11. Mdau hapo juu nakuunga mkono kumpa pongezi Prosper kuwa sambamba na Ndaga, wanaume wa kibongo hawatokagi na wake zao, utawakuta na vimada tu, big up my man Prosper wa la saba B pale Muhimbili Primary, Ndaga ulikuwa A wewe.
    NB. Hapo nadhani ni katika harusi.

    ReplyDelete
  12. Hapo ni Arusha, kwenye harusi ya kijana Vincent Shirima

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...