Home
Unlabelled
mrisho mpoto sasa dairekta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ujinga gani huo jamani?acheni kutuaibisha na michezo hiyo ya kitoto...no lighting,no actors,no director,no atmosphere,no props,kwa ufupi this is not even amateur but plain daytime dreaming!!!!!!
ReplyDeleteUjinga gani huo jamani?acheni kutuaibisha na michezo hiyo ya kitoto...no lighting,no actors,no director,no atmosphere,no props,kwa ufupi this is not even amateur but plain daytime dreaming!!!!!!
ReplyDeletewe anon hapo juu wacha jamaa wafanye mambo kuliko kula vumbi bongo,watakula vumbi hadi makoo yaote ukulutu
ReplyDeletemtu unaamua tu kujitosa kwenye udirecta bila elimu yoyote, ni kubaya kweli!! mi aliniudhi tu alipomtapeli dada wa watu aliyemsaidia kutunga nyimbo akasema ye ndo ametoa mchango mkubwa hivyo apewe nusu kwa nusu!! tamaa mbaya.
ReplyDeleteJamani hiyo ni video camera!
ReplyDeleteUjinga kama huo si mbaya sana kama ukifanyikia vichochoroni...lakini sehemu kama uwanja wa ndege jamani si ni aibu tupu!!! Na hao watu wanaoruhusu majengo ya umma kutumiwa kufanya mambo kama haya wana akili timamu kweli??Sehemu kama airport inatakiwa kuheshimika na siyo kutumiwa na small time crooks kutapeli wananchi..sasa jamani hebu angalieni cameraman anavyotetemeka! hata angle aliyokaa sidhani kama anaweza kupata picha nzuri!!!! jamani....
ReplyDelete