MTANZANIA AU WATANZANIA WANAOISHI NCHINI KAMERUNI, MJINI YAOUNDE AUDOUALA, WANATAFUTWA NA MTANZANIA ANAYEISHI MAREKANI AMBAYE AMEOMBAJINA LAKE LIHIFADHIWE LAKINI ANAFAHAMIKA NA BLOGU HII. TAFADHALI TUMAHARAKA E-MAIL YAKO NA SIMU ZAKO KWENYE E-MAIL YA BLOGU.
ASANTE!
WEE MCHAWI NINI YAANI UNATAFUTA MTU YOYOTE SASA MIMI NAISHI CAMEROON SHIDA YAKO NINI SAMAHANI LAKINI SIFANYI KAZI ZA HARAMU KWA HIYO NITOE KWENYE LIST YAKO
ReplyDeleteMOH AL NASSOR
Huyo anayemfauta lazima atakuwa FISADI! Kwanini jina
ReplyDeletelake anaogopa lisitajwe!? Ni uhuni huo na hupati mtu FISADi wewe!
Hey! wape watu hata sababu kidogo ya kutuma email zao huko unakotaka. Yaani kwa vile wewe ni mtanzania au kwa vile wewe uko USA ndio maana watu wakurupuke tu na kutuma email zao?
ReplyDeleteHumu kwenye blog ya michuzi hamna anayefahamika zaidi ya Chiribiti
Mimi niko huku cameroon ila kama ndio unaitaka dawa ya kukuza mawowowo usitegemee kama tutakusaidia ila ungeongea shida yako tungeweza kukushauri
ReplyDeleteAaaahhhh !!!!
ReplyDeletemijitu mingine bwana !!!
yaani wewe unatafuta mtu halafu usemi jina
kwani sie Psychics?
address yako hujatoa
mwe !!!!
sasa unataka usaidiweje? eti mtu anatafuta mtu, watanzania tupo zaidi ya milioni 35
loh !! usipoteze muda wetu hapa.
move get out of the way !#$@# we have important things to do
mdau Canada
JAMANI NI RAHISI MNO, HUYU JAMAA ANAOMBA CONTACTS NA MTANZANIA ALIYEKO CAMEROON, KAMA UKO TAYARI WASILIANA NAYE, KAMA HUTAKI ACHA! HAKUNA SABABU YA KUMLAANI KWA KUWA HAMJUI ANA JAMBO GANI, KAMA ANA JAMBO BAYA ASINGECHAGUA KUACHA USHAHIDI KWA MICHUZI. WATANZANIA TUKO NEGATIVE MNO, KWA NINI KAMA WEWE UKO CAMEROON UFIKIRIE JAMBO BAYA TU? KAMA MIMI NINGEKUWA HUYO JAMAA HATA MTU AKITUMA CONTACTS SASA NITASHUKU KWAMBA SI MKWELI, KWA KUWA WALIODAI KUWA WAKO HUKO TAYARI WANAONEKANA KUWA NA TATIZO.
ReplyDeleteJAMBO USILOLIJUA BWANA NI KAMA USIKU WA GIZA
ReplyDeleteELIMU KIDOGO KWA WASIOJUA MEDIA
ReplyDeleteKama umewahi kusoma matangazo ya nafasi za kazi kwenye magazeti bila shaka unakumbuka yale matangazo ambayo huwa hayataji Jina la Kampuni inayoajiri.
Huwa yanasema tuma maombi kwa Vocha namba XXXXX.
Kinachoendelea ni kwamba kwa sababu moja ama nyingine Mwajiri ameamua kuficha identity yake na hivyo maombi yatapokelewa na Media ambayo itaforward kwa Mwajiri.
Sababu kuu huwa ni kwamba mwajiri anataka waombaji watume maombi kutokana na kazi iliyotangazwa sio kutokana na nani aliyetangaza.
Hivyo huyu ndugu yetu wa Marekani ametumia staili hii kwa kujificha nyuma ya pazia la Issa Michuzi.
Mlioko Cameroon natumai hamutamuangusha.
Kama wahenga wasemavyo "usikatae wito bali kauli"
kwani huyo chibiriti ni nani aliyetajwa hapo juu
ReplyDeleteJamani mimi niliyetoa tangazo hili siyo mjinga, kama hakuna Mtanzania mwenye nia, basi nahamishia tangazo hili kwa Wakenya halafu muone watakavyochangamka, labda wawe hawapo huko Kameruni. Issue siyo mimi ni nani, ni kwamba kama una nia changamka, huna nia acha. Hakuna haja ya kutukana wala kushambulia, acha tu kama hutaki na ulicho nacho.
ReplyDeleteNdugu yangu mimi niko Gabon, nimeoa huku, si mbali sana na Cameroon, kama nafaa kwa hicho unachotafutia mtu, niambie. Inaelekea watu hawajui biashara za kimataifa zinavyokwenda, hii inaonekana kabisa ni kitu safi lakini watu hawaelewi.
ReplyDelete