HEY KAKA MAMBOOZZZ,
aisee ngoja nikupe pongezi ya blog yakooo, iko juuu mbaya,,,
sasa, mi nilitaka kitu kimojaaa, unajua naishi ufaransa, sehemu inaitwa Brest (West France) halafu namjua msela mmoja tu ambaye naye ni mmbongo (Remmy R), hivi its possible kujua kama kuna masela wengine in this region of france au ni sisi tuuu... nimeshakaa hapa zaidi ya miezi 6 na ndo huyo tu msela wangu tunayefahamiana...
hey thanks a lots ma brother.
Au revoir, mon ami.
allen matari
Alinooo mwana staff ya bien!! Mwanangu umepinda mpaka unatuma request michuzi duhhh ! kweli we modele !!! teh teh teh !
ReplyDeleteAaaaaaaaaaaaah!! Na wewe acha ufala!! Andaeni ka bash kakishkaji na mkaadvataizi kiaina mtawaona tu wabongo wanavopenda kujirusha.
ReplyDeleteWadau hamjajua tu, haka katoto alen anataka kutuarifu tu kuwa tuko ufaransa kamfata mama yake huko. Wapo wakina haika na kina Tino na wengine kibao. na huwa unakutana nao sasa inakuwaje unasema yuko remmy tu. Hukui tu. kaka michu usiibanie hii.
ReplyDelete