WAZIRI WA AFRIKA MASHARIKI AMBAYE AWALI ALIKUWA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI DK MSABAHA NAYE KAMPELEKEA BARUA JK KUOMBA KUJIUZURU KWA MUJIBU WA MAELEZO YAKE ALIYOTOA DAKIKA HII BUNGENI
Home
Unlabelled
MSABAHA NAYE AMWAGA MANYANGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Sasa tunataka MGONJA aachie ngazi!!!
ReplyDeleteDuh Bro Edo kaanzisha kamziki katamu naona mafisadi wanapokea tu chorus eheeee! Chenge husikii au ebu mwaga hata free style tukusikie bana. Kwani shindano hilo hata kama sauti mbaya imba tu alafu apokee hoseah na wengineee weengi waliotajwa. kweli hakuna lisilo na mwisho sikujua chakula hata kikiwa kitamu vipi ila ukipewa tonge la moto unalitema.... heeee tutabanana kwenye foleni ving'ora kwaheriiii!
ReplyDeletehawa wote waangekua impeached toka jana report ilipotoka na wala hamna cha kuwapa muda wa kujiuzulu
ReplyDeleteJK ni kiboko lakini usiwachie karibu hebu wafunge kwanza ndio Dunia nzima itakutambua na jina lako litapanda kwenye chati kama Jerry Rorry wa Ghana, angalia Balali kajikopesha mwenyewe mabilioni, mwenzangu namie hupewi hata milioni kumi na kama ukipewa basi ujue ndio utachangia kulipa mikopo yao katika riba watakayo kutoza, na ukishindwa wanakufilisi kakibanda kako.
ReplyDelete