jk na mama wa kwanza wakipozi na timu ya taifa ya wanawake a.k.a twiga staaz ikulu pamoja na waziri wa habari, utamaduni na michezo, mh. george mkuchika (nne shoto), naibu wake mh. joel bendera (kuume na prezidaa wa tff sir leodegar chilla tenga. leo pale neshno twiga wanapepetana na kameruni kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya afrika yatayofanyika baadae mwaka huu huko equatorial guinea. mgeni rasmi kwenye pambano la leo anatarajiwa kuwa mama wa kwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. duuuuuuh, mie sisemi saana kuna madem 3 nawajua walikuwa wananifukuzia na mmoja wapo kabisaa alikuwa hanipendi maana nilikuwa hata salam simuongeleshi...mie nawaombea mafaniko mema tuu.. sasa michuzi mbona huweki maelezo kama mpira umeanza ama?

    ReplyDelete
  2. Wadau embu nisaidieni, hivi hili neno mama wa kwanza ni official translation au ni kama neno maiwaifu wangu analotumia michuzi?

    ReplyDelete
  3. Weeee unayejitia eti kuna mademu 3 walikua wanaufukuzia acha ushamba yanahusiana na nini kundika humu??? nenda kajifunze ustarabuuu wee ni mshamba eti ohhh hata salamu nikua simpi bonge la kupitwa na wakati usitundikie ujinga humu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...