Home
Unlabelled
idhaa ya kiswahili dw yaadhimisha miaka 45 kwa kishindo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu umulkheri ana sauti ya kipekee, kwa kweli ni mzuri sana , hata kama habari si mzuri utapenda umsikilize, sauti yake ni mchnganyiko wa sauti ya kike na ya kiume (yaani in between) kwa kweli amebarikiwa.
ReplyDeleteMichuzi vipi??? Mbona hapa naona MANKA Mushi tu, kulikoni?? Au hatuwekewi mambo mengine hadi huyo Mwana CV manka apate DUME??
ReplyDeletewewe misupu embu ondoa huyo malaya manka hapo chini, kwani anitia kichefuchefu. bwabwabwabwa
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteNaomba utuwekee picha ya yule Mtangazaji wa idhaa ya kiswahili ya DW mwenye sauti yenye utata - hata jina lake sijui linaandikwaje ndio maana nasita hata kuliandika, nadhani umenisoma...
kama ni mmoja wa hao akina mama ktk picha hpo juu naomba utufahamishe vizuri tupate kumfahamu. wengi tunamsikia akirindima lakini hatuna taswira yake ktk akili zetu. Halafu pia utuandikie jina lake kwa ufasaha
Pongezi DW kwa kazi mnayofanya.
ReplyDeleteIla kubwa ya yote napenda sana kumsikiliza Umulkheiryn na kumpongeza ..napenda sana anapokuwa anatangaza habari za mashariki ya kati hasa hiyo sauti yake..Hebu mdau imagine anatamka cha cha HAMMAS..aaa aaaa
brother michuzi pole na kazi naomba kuuliza mechi ya bwawa la maini itaonyeswa kwenye local tv maana dstv yangu ina matatizo
ReplyDeleteHerzliches Will kommen in Deutshland Bruder Michuzi.Wir sind stolz auf dein Arbeit und wünchen wir ihnen eine gute aufenthalt hier in Deutchland.
ReplyDeleteMdau wako toka Baden.Baden
Huyo mama umry kheiry namkubali sana katika vipaji duniani anatisha miaka yote nilishidwa kujenga taswila yake kichwani kumbe ndio huyu asante sana michu jamani dw inapatikana kwenye net kama bbc/swahili au naomba msada
ReplyDeleteAnon wa Tarehe Tuesday, March 11, 2008 11:09:00 PM EAT,
ReplyDeleteUnaweza kuipata DW kupitia link hii: bofya hapa